Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aliyemtongoza mwenzake ni mukongo kila siku anajifunza neno humu akija mistari ya dini basi siku ya siku mama mchuchu akamquote mukongo kumwita baba mchuchu

ukumbuke kabla hajakubaliwa yeye na binamu ndio walikua wanamgombania wote

Mimi fala kweli badala ya kujitahidi kukariri mistari, naungana na mjombaangu lee empire kuongelea masuala ya waganga wapiga ramli. Ona sasa kilichonikuta

Afu namlaumu mjomba tu kwa kweli
 
Aaa wapi! Mbwembwe tu. Uilete kwanza nii-edit usije ukaishia kutuandikia Kihaya hapa halafu ukirekebishwa unakuwa mbogo[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimehairisha

Naona umekuja kutuletea kupatwa kwa shedede
 
Back
Top Bottom