Makapuku Forum

Makapuku Forum

335e3aa732dfb44bb644a9123e523e42.jpg

Wale mlio kwenye ndoa
Kazi kwenu
......
cc: fulani
 
WAFILIPI 4

4.Furahini katika Bwana siku zote tena nasema furahini,

5.Upole wenu na ujulikane kwa watu wote.Bwana yu karibu.

6.Msijisumbue kwa neono lolote ;Bali katika kila neno kwa kusali na kuomba,pamoja na kushukuru,haja zenu na zijukikane na Mungu.

7.Na amani ya Mungu ,ipitayo akili zote,itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Yesu Kristo.

Amen
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom