Makapuku Forum

Makapuku Forum

1819--Malkia Victoria anazaliwa
Aliongoza Uingereza kuanzia mwaka 1836 hadi alipofariki mwaka 1901
5c9ae47d0c73937613bba2fa02967110.jpg
9361432dd02fbc130e338ab263af3c1d.jpg

Ziwa Victoria huku Bongo lilipewa jina lake na wakoloni wa Kiingereza kama heshima kwake
.........
Aisee, sikuwa najua hili, asante.
 
1966-- Eric Cantina anazaliwa
Ni nahodha Wa zamani wa Man Utd pia aliichezea timu ya Taifa ya Ufaransa
f1502431b008693716d4695b97c2a9e3.jpg
c4e8d14c3a25b5a67d52b39707efcc71.jpg

Ni mwanasoka aliyekuwa na kipaji kikubwa lakini mbabe na mkorofi kama Roy Keane
Anakumbukwa kwa tukio lake la kumrukia shabiki wa timu ponzani teke la kung fu kutokana na kukerwa namna alivyokuwa akimzomea
4edb260c6c6f30fb9e871b0d29ded7f7.jpg
11fdaa3d98555e4633009d782f067ef4.jpg

Aliiamua kuachana na soka mapema na kujikita kwenye soka la ufukweni na uchezaji filamu
.
.
.
Ahsanteni kwa kufuatilia mada
Mwisho
.............
Asante sana Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom