Makapuku Forum

Makapuku Forum

LEO KATIKA HISTORIA
1878--Mashindano ya kwanza ya mbio za baiskeli yanafanyika huko Boston nchini Marekani
4c2e07543397eb29d35a7f5051ba513a.jpg
ef70b0057d485dceb879c5de1c2d00f6.jpg

Yaani enzi hizo mabaiskeli makubwamakubwa km walizoendesha mababu zetu ila za Wamarekani zilikuwa na unafuu
.........
 
1961--Watetezi wa haki za kiraia wanakamatwa na kuswekwa ndani katika kitongoji cha Jackson huko Mississippi
d7537a93141fa0e2a6f8b5d0e7f14dda.jpg
811b0b5d077c5c93364be2f9decbe079.jpg
Vuguvugu lilianza miaka ya 1950 kutokana na ukandamizaji mkubwa wa hali za watu weusi na hapo likaibuka kundi la Freedom Riders na kuhamasisha watu kudai hali zao makanisani,majumbani,mitaani n.k

Bongo tutaanza lini juu ya hii serikali ya kidwanzi ya Sizonje na wanawe?
........
 
1966-- Eric Cantina anazaliwa
Ni nahodha Wa zamani wa Man Utd pia aliichezea timu ya Taifa ya Ufaransa
f1502431b008693716d4695b97c2a9e3.jpg
c4e8d14c3a25b5a67d52b39707efcc71.jpg

Ni mwanasoka aliyekuwa na kipaji kikubwa lakini mbabe na mkorofi kama Roy Keane
Anakumbukwa kwa tukio lake la kumrukia shabiki wa timu ponzani teke la kung fu kutokana na kukerwa namna alivyokuwa akimzomea
4edb260c6c6f30fb9e871b0d29ded7f7.jpg
11fdaa3d98555e4633009d782f067ef4.jpg

Aliiamua kuachana na soka mapema na kujikita kwenye soka la ufukweni na uchezaji filamu
.
.
.
Ahsanteni kwa kufuatilia mada
Mwisho
.............
 
1961--Watetezi wa haki za kiraia wanakamatwa na kuswekwa ndani katika kitongoji cha Jackson huko Mississippi
d7537a93141fa0e2a6f8b5d0e7f14dda.jpg
811b0b5d077c5c93364be2f9decbe079.jpg
Vuguvugu lilianza miaka ya 1950 kutokana na ukandamizaji mkubwa wa hali za watu weusi na hapo likaibuka kundi la Freedom Riders na kuhamasisha watu kudai hali zao makanisani,majumbani,mitaani n.k

Bongo tutaanza lini juu ya hii serikali ya kidwanzi ya Sizonje na wanawe?
........
Haaaaahaaaa
 
1966-- Eric Cantina anazaliwa
Ni nahodha Wa zamani wa Man Utd pia aliichezea timu ya Taifa ya Ufaransa
f1502431b008693716d4695b97c2a9e3.jpg
c4e8d14c3a25b5a67d52b39707efcc71.jpg

Ni mwanasoka aliyekuwa na kipaji kikubwa lakini mbabe na mkorofi kama Roy Keane
Anakumbukwa kwa tukio lake la kumrukia shabiki wa timu ponzani teke la kung fu kutokana na kukerwa namna alivyokuwa akimzomea
4edb260c6c6f30fb9e871b0d29ded7f7.jpg
11fdaa3d98555e4633009d782f067ef4.jpg

Akiamua kuachana na soka mapema na kujikuta kwenye soka la ufukweni na uchezaji filamu
.
.
.
Ahsanteni kufuatilia mada
Mwisho
.............
Asante bitoz kwa leo katika historia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom