Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
ahaha inataka moyo sana ukipenda boga upende na ua lake ajue tu lugha ya mama mchuchu hakuna namna la sivyo binamu obe atajifunzaAje kumfundsha baby wake lugha ya kipendwa![]()
![]()
![]()
ahaha inataka moyo sana ukipenda boga upende na ua lake ajue tu lugha ya mama mchuchu hakuna namna la sivyo binamu obe atajifunzaAje kumfundsha baby wake lugha ya kipendwa![]()
![]()
![]()
Duh huu si uungwana atiiiiUlipitwa, anasubiriwa mama mchungaji tu kubariki ombi la Nyagei

Anakusoma tu binamu Obeahaha inataka moyo sana ukipenda boga upende na ua lake ajue tu lugha ya mama mchuchu hakuna namna la sivyo binamu obe atajifunza
Binamu hata wewe umeshindwa kunitonyaNafatilia kwa ukaribu sana hili

Shunie unatakiwa uzowee maisha ya shamba.Nilikuwa kuwa porinii
Ila now niko shamba nalima mawese
Cuzoo wewe si mtu mzuriiii
aisee kumbe hata wewe umegundua hilo, unajua huyu shemeji yako si wa spotiShangaa na wewe sasa
Wewe si rafiki wa kudumu aiseee
Hmm.... Shunie ameokoka!hahhahahh me nimeokoka mjue ila nawaona na mumeo kazi mnayoifanya
Marahaba Dear Shunie mzima mwanangu,pole na majukumu,mum here Loves youtulikumiss pia mama yetu shikamoo mama mchuchu
ubarikiwe
Archdukembona unashangaa sana???
kwani ulikuwa hujui???
Mbona ugomvi tena husna..... Kumbuka usimtukane mkunga na uzangalipo. Ha ha ha ha.Lioneee![]()
ya nje hayakupiti imekuaje humu ndani leo??hahaah amini tu kwa nini nisipitwe nyagei ebu akuje aniambie kwa marefu cuzoo wangu anamuwowa bila mimi kujua