Makapuku Forum

Makapuku Forum

LEO KATIKA HISTORIA
1878--Mashindano ya kwanza ya mbio za baiskeli yanafanyika huko Boston nchini Marekani
4c2e07543397eb29d35a7f5051ba513a.jpg
ef70b0057d485dceb879c5de1c2d00f6.jpg

Yaani enzi hizo mabaiskeli makubwamakubwa km walizoendesha mababu zetu ila za Wamarekani zilikuwa na unafuu
.........
Napenda sana kuendesha baiskeli,nikienda kijiji huwa lazima nikumbushie enzi,maana kule hawanishangai
 
1961--Watetezi wa haki za kiraia wanakamatwa na kuswekwa ndani katika kitongoji cha Jackson huko Mississippi
d7537a93141fa0e2a6f8b5d0e7f14dda.jpg
811b0b5d077c5c93364be2f9decbe079.jpg
Vuguvugu lilianza miaka ya 1950 kutokana na ukandamizaji mkubwa wa hali za watu weusi na hapo likaibuka kundi la Freedom Riders na kuhamasisha watu kudai hali zao makanisani,majumbani,mitaani n.k

Bongo tutaanza lini juu ya hii serikali ya kidwanzi ya Sizonje na wanawe?
........
Mungu atusaidie sana wa Tz,tunasafari ndefu
 
YAKOBO 5

13.Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya?Na aombe,Ana moyo wa kuchangamka?Na aimbe Zaburi.

14.Mtu kwenu amekuwa hawezi?Na awaite wazee wa kanisa ,nao wamwombee,na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.

15.Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule,na Bwana atamwinua;hata ikiwa ametenda dhambi atasamehewa.

16.Ungameni dhambi zenu ninyi kwa nyinyi,na kuombeana ,mpate kuponywa.kuomba kwake mwenye haki kwa faa sana akiomba kwa bidii.

17.Eliya alikuwa mwanadamu mwenye tabia moja na sisi,akaomba kwa bidii mvua isinyeshe ,na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita.

18.Akaomba tena ,mbingu zikatoa mvua ,nayo nchi ikazaa matunda yake

TUOMBE

Asante Baba kutufikisha muda huu ulituamsha salama na wenye afya tunakushukuru kwa kila jambo linaloonekana tena wewe ni mwanzo na mwisho hakuna kama wewe Baba,yote yanayotokea katika maisha yetu ni kwa utukufu wa jina lako.

Asante kwa uponyaji wa wagonjwa wote majumbani na mahospitalini,asante kwa faraja kwa wafiwa zidi kuwakumbatia mfalme wa amani,asante kuwahudumia yatima na wajane ,wewe ni baba mwema wa yatima,na mume mwema wa wajane,asante kuwatia moyo waliokata tamaa na kuvunjika moyo .
Tunajikabidhi mikononi mwako,bariki kazi zetu,familia zetu,watoto nyumbani na mashuleni,wabariki wasafiri wote wafike salama.
Tunakuomba uendelee kuwepo mahali hapa ndugu tunapokaa kwa amani,upendo,umoja,kuchukuliana kwa upendo,furaha,kutiana moyo na kuelimishana kwa furaha,mahali hapa Baba ni wewe umeweka kibali,tunaomba endelea kuwabariki waanzilishi na washiriki wa mahali hapa MAKAPUKU endelea kuwaimarisha kimwili na kiroho ili ukumbi huu ukawe mahali pa faraja kwa wengi,furaha,mshikamano,kujifunza,kuombeana,kuburudika na mwisho wa siku kufanya dunia yenye misongo na changamoto kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Kaa nasi Baba mchana huu uwe kiongozi wetu.
Naomba na kushukuru
Amen

MCHANA MWEMA
Amen
 
YAKOBO 5

13.Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya?Na aombe,Ana moyo wa kuchangamka?Na aimbe Zaburi.

14.Mtu kwenu amekuwa hawezi?Na awaite wazee wa kanisa ,nao wamwombee,na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.

15.Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule,na Bwana atamwinua;hata ikiwa ametenda dhambi atasamehewa.

16.Ungameni dhambi zenu ninyi kwa nyinyi,na kuombeana ,mpate kuponywa.kuomba kwake mwenye haki kwa faa sana akiomba kwa bidii.

17.Eliya alikuwa mwanadamu mwenye tabia moja na sisi,akaomba kwa bidii mvua isinyeshe ,na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita.

18.Akaomba tena ,mbingu zikatoa mvua ,nayo nchi ikazaa matunda yake

TUOMBE

Asante Baba kutufikisha muda huu ulituamsha salama na wenye afya tunakushukuru kwa kila jambo linaloonekana tena wewe ni mwanzo na mwisho hakuna kama wewe Baba,yote yanayotokea katika maisha yetu ni kwa utukufu wa jina lako.

Asante kwa uponyaji wa wagonjwa wote majumbani na mahospitalini,asante kwa faraja kwa wafiwa zidi kuwakumbatia mfalme wa amani,asante kuwahudumia yatima na wajane ,wewe ni baba mwema wa yatima,na mume mwema wa wajane,asante kuwatia moyo waliokata tamaa na kuvunjika moyo .
Tunajikabidhi mikononi mwako,bariki kazi zetu,familia zetu,watoto nyumbani na mashuleni,wabariki wasafiri wote wafike salama.
Tunakuomba uendelee kuwepo mahali hapa ndugu tunapokaa kwa amani,upendo,umoja,kuchukuliana kwa upendo,furaha,kutiana moyo na kuelimishana kwa furaha,mahali hapa Baba ni wewe umeweka kibali,tunaomba endelea kuwabariki waanzilishi na washiriki wa mahali hapa MAKAPUKU endelea kuwaimarisha kimwili na kiroho ili ukumbi huu ukawe mahali pa faraja kwa wengi,furaha,mshikamano,kujifunza,kuombeana,kuburudika na mwisho wa siku kufanya dunia yenye misongo na changamoto kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Kaa nasi Baba mchana huu uwe kiongozi wetu.
Naomba na kushukuru
Amen

MCHANA MWEMA
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom