Makapuku Forum

Makapuku Forum

1966-- Eric Cantina anazaliwa
Ni nahodha Wa zamani wa Man Utd pia aliichezea timu ya Taifa ya Ufaransa
f1502431b008693716d4695b97c2a9e3.jpg
c4e8d14c3a25b5a67d52b39707efcc71.jpg

Ni mwanasoka aliyekuwa na kipaji kikubwa lakini mbabe na mkorofi kama Roy Keane
Anakumbukwa kwa tukio lake la kumrukia shabiki wa timu ponzani teke la kung fu kutokana na kukerwa namna alivyokuwa akimzomea
4edb260c6c6f30fb9e871b0d29ded7f7.jpg
11fdaa3d98555e4633009d782f067ef4.jpg

Akiamua kuachana na soka mapema na kujikuta kwenye soka la ufukweni na uchezaji filamu
.
.
.
Ahsanteni kufuatilia mada
Mwisho
.............
happy birthday Eric
Asante Bitoz kwa historia
 
1966-- Eric Cantina anazaliwa
Ni nahodha Wa zamani wa Man Utd pia aliichezea timu ya Taifa ya Ufaransa
f1502431b008693716d4695b97c2a9e3.jpg
c4e8d14c3a25b5a67d52b39707efcc71.jpg

Ni mwanasoka aliyekuwa na kipaji kikubwa lakini mbabe na mkorofi kama Roy Keane
Anakumbukwa kwa tukio lake la kumrukia shabiki wa timu ponzani teke la kung fu kutokana na kukerwa namna alivyokuwa akimzomea
4edb260c6c6f30fb9e871b0d29ded7f7.jpg
11fdaa3d98555e4633009d782f067ef4.jpg

Akiamua kuachana na soka mapema na kujikuta kwenye soka la ufukweni na uchezaji filamu
.
.
.
Ahsanteni kufuatilia mada
Mwisho
.............
Nilipenda uvaaji wake wa jezi. Akisimamisha kola juu. Japo mie mshabiki wa Liverpool (John Barnes).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom