Makapuku Forum

Michael hakujichubua Bali dawa alizokuwa anapaka ili kutibu ndio zilipelekea kumbadilisha rangi sababu zilikuwa ni kali na alitumia kwa muda mrefu

Asante na jioni njema kwako pia
 
Asante bitoz
 
Sasa hivi naona watu wengi wanao,ukipita mahospitalini utakutana nao.

Ubarikiwe asante sana mkuu Bitoz,uwe na wakati mwema na Mungu aendelee kukutetea
 
According to Waziri Mwijage
*Ukitafuna miwa 4 tayari una kiwanda cha sukari
*Ukiwa na majiko 4 una kiwanda cha kupikia
*Ukiwa na ng'ombe jike 4 una kiwanda cha Maziwa
*Ukijisaidia kinyesi kutwa X 4 una kiwanda cha mbolea
*Ukiwa na Kali 4 za kuchomea vitumbua tayari ni kiwanda cha vitumbua
*Ukiwa na sindano 4 una kiwanda cha nguo
*Ukiwa na vimada 4 tayari una kiwanda cha kufyatua watoto
*Ukiwa na watoto 4 wenye mabichwa makubwa yaliyojaa nywele tayari una kiwanda cha wigi
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…