Makapuku Forum

I see,ila ni dhambi kujiua/kuua/kutoa uhai....Mungu mwenyewe alimjua na atajua namna ya kumuhukumu
Dhbi ni dhambi tu hata kusema uwongo
Binadamu wote ni dhaifu na hakuna mkamilifu hata awe sheikh/padre hakuna akufaye hakiwa hana dhambi labda watoto wadogo na matahira pekee
Maisha bila dhambi hayawezekani
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…