Makapuku Forum

Makapuku Forum

ZABURI 126

1.Bwana alipowarejeza mateka wa Sayuni,tulikuwa kama waota ndoto.

2.Ndipo kinywa chetu kilipojaa KICHEKO,na ulimi wetu kelele za
furaha
Ndipo waliposema katika mataifa BWANA amewatendea mambo MAKUU.

3.BWANA alitutendea mambo makuu,Tulikua tukifurahi.

4.Ee BWANA ,Uwarejeze watu wetu waliofungwa,kama vijito vya kusini.

5.Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.

6 .Ingawa mtu anakwenda zake akilia azichikuapo mbegu za kupanda.

7.Hakika atarudi kwa kelele za furaha aichukuapo miganda yake.

MUNGU ALIYE HAI NA AKUPE KICHEKO TENA KATIKA LOLOTE AMBALO LIMEKUWA LIKIKUTEKA KWA MUDA SASA,AKUSHANGAZE TENA KWA MATENDO YAKE MAKUU,IWE MAGONJWA,KUTOFANIKIWA KATIKA LOLOTE,MUNGU AKUTENDENDEE MAMBO MAKUU,KWA JINA LENYE NGUVU. LA YESU KTRISTO ,AMINA
AAAAAAmen
 
2/Ocean Quahog
f7560dea4ff50e7bb6ec63614e114a5a.jpg
c0d3305150011f45bf4d0c47cdc74c95.jpg

Hawa wanafanana na konokono
Wana uwezo wa kuishi miaka 400{msiwaonee gere)
Mzee zaidi ajulikanaye kama Ming aliishi miaka 507
..........
 
10/Red Sea Urchin
86d7a197de241c79f3fac643154bc220.jpg
8211f34d776fb9f9e03b0482d1a51bd4.jpg
Hawa wanasadikiwa kuwa huishi milele maana wanaowarekodi/watunza hufa huku wao wakiendelea kuishi hata baada ya vifo vya watoto wa hao watunza wanyama!!!!!
Wanaishi baharini kwenye n ina cha juujuu kwenye pwani ya bahari ya Pasifiki huko Amerika Kaskazini Wanasadikiwa kuwa na uwezo wa kuishi miaka zaidi ya 200
........
Kama huyu anaishi 200yrs. Hao wengine.....
 
6/Tembo wa Afrika
cea9959183cece6f16cc8d26368c028d.jpg
1560c6fc4fd09be6176a29b4d1440db5.jpg
Hawa ni wale wanaopatikana barani Afrika pekee ambao kwa hapa Bongo huwindwa na majangili pamoja na wapiga dili ili wapate pembe zao(pembeni za ndovu)
Wanakadiriwa kuwa na uwezo qa kuishi miaka 70
Ila kwavile Waafrika hatujali kutunza kbukumbu pengine wapo tembo wenye miaka 100
.......
Nakubali
 
1/Immortal Jellyfish
aa83542fe281a589142e5e0e2367afb2.jpg
eea70345094e336074047e6fd80085e3.jpg
Tafsiri isiyo easmi ya immortal ni kuishi milele
Yaani Hawa samaki ni km vile huishi milele
Pindi wakijeruhiwa hujibadili na kurudi vilevile!!!
Kiufupi hawajui kufa kwa ugonjwa wala ajali labda wamezwe watafunwe
Hivyo ndo vinara wa kuishi miaka mwingi
..
.
.
.viumbe vya bahari ni ndo vinaongozi kwa kuishi miaka mwingi
Hii inadhihirisha Maji ni Uhai
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
 
1/Immortal Jellyfish
aa83542fe281a589142e5e0e2367afb2.jpg
eea70345094e336074047e6fd80085e3.jpg
Tafsiri isiyo easmi ya immortal ni milele
Yaani Hawa samaki ni km vile huishi milele
Pindi wakijeruhiwa hujibadili na kurudi vilevile!!!
Kiufupi hawajui kufa kwa ugonjwa wala ajali labda wamezwe watafunwe
Hivyo ndo vinara wa kuishi miaka mwingi
..
.
.
.viumbe vya bahari ni ndo vinaongozi kwa kuishi miaka mwingi
Hii inadhihirisha Maji ni Uhai
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Ubarikiwe mkuu Bitoz kazi yako ni njema ,nimejifunza mengi asante sana uwe na wakati mwema ,Mkono wa Mungu usikupungukie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom