Nimewahi kumuona kwenye aquarium moja huyu mdudu. Ni jamii ya wale samaki wenye umeme mwilini mwao kama kumbukumbu zangu zinanitendea wema8/Long Finned EelHawa ni samaki warefu hivyo kufanana na nyoka wanapatikana zaidi huko Australia na New Zealand
Wanasadikiwa kuwa na uqezo Wa kuishi miaka 60 ila aliyerekodiwa aliishi miaka 106
.......
Coco Beach wapo hao ila ni wadogo size ya kiganja pia ni weusi10/Red Sea UrchinHawa wanasadikiwa kuwa huishi milele maana wanaowarekodi/watunza hufa huku wao wakiendelea kuishi hata baada ya vifo vya watoto wa hao watunza wanyama!!!!!
Wanaishi baharini kwenye n ina cha juujuu kwenye pwani ya bahari ya Pasifiki huko Amerika Kaskazini Wanasadikiwa kuwa na uwezo wa kuishi miaka zaidi ya 200
........
Hata hao ni wadogo ila picha imewakuzaCoco Beach wapo hao ila ni wadogo size ya kiganja pia ni weusi
Itakuwa ni jamii mojaNimewahi kumuona kwenye aquarium moja huyu mdudu. Ni jamii ya wale samaki wenye umeme mwilini mwao kama kumbukumbu zangu zinanitendea wema
si mchezo simli hata bure, labda nisimjue8/Long Finned EelHawa ni samaki warefu hivyo kufanana na nyoka wanapatikana zaidi huko Australia na New Zealand
Wanasadikiwa kuwa na uqezo Wa kuishi miaka 60 ila aliyerekodiwa aliishi miaka 106
.......
Hbr ya leo kakaMakapuku wenzangu nimewamis sana
Habari zenu
watu wanawaita miba za CocoHata hao ni wadogo ila picha imewakuza
......
Njema za huko dadaHbr ya leo kaka
Hny umeshndaje leoHaaaaahaaaa
Ameni mama mchungaji ubarikiweZABURI 126
1.Bwana alipowarejeza mateka wa Sayuni,tulikuwa kama waota ndoto.
2.Ndipo kinywa chetu kilipojaa KICHEKO,na ulimi wetu kelele za
furaha
Ndipo waliposema katika mataifa BWANA amewatendea mambo MAKUU.
3.BWANA alitutendea mambo makuu,Tulikua tukifurahi.
4.Ee BWANA ,Uwarejeze watu wetu waliofungwa,kama vijito vya kusini.
5.Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.
6 .Ingawa mtu anakwenda zake akilia azichikuapo mbegu za kupanda.
7.Hakika atarudi kwa kelele za furaha aichukuapo miganda yake.
MUNGU ALIYE HAI NA AKUPE KICHEKO TENA KATIKA LOLOTE AMBALO LIMEKUWA LIKIKUTEKA KWA MUDA SASA,AKUSHANGAZE TENA KWA MATENDO YAKE MAKUU,IWE MAGONJWA,KUTOFANIKIWA KATIKA LOLOTE,MUNGU AKUTENDENDEE MAMBO MAKUU,KWA JINA LENYE NGUVU. LA YESU KTRISTO ,AMINA
Umeona magimbi tu ktk orodha hyoMagimbi mekundu au meupe
Ukimgusa inakuwajeNimewahi kumuona kwenye aquarium moja huyu mdudu. Ni jamii ya wale samaki wenye umeme mwilini mwao kama kumbukumbu zangu zinanitendea wema
Nimeona vingi ila nimeipenda magimbiUmeona magimbi tu ktk orodha hyo
miss u too mke mwee za wwMke mweee mic u