Makapuku Forum

1987 - Arturo Vidal anazaliwa.

Kiungo wa kati wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Chile.

Kizazi chao cha sasa naamini kitasumbua World Cup mwaka ni
Kinakaribia kile cha akina Ivan Zamorano(alitamba Inter Milan) na Marcelo Salas{alitamba Parma} ambao walitikisa World Cup 1998 pale Ufaransa
..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…