Utaniambia haka kamchezo kataishia wapi..binamu ukujeee flowers zimeanza binamu yangu usipokufwa mwaka huu hufi tena si hiki anachokufanyia mama mchuchu
Mama mchuchu!Happy Birthday George Best
Pole sana kaka!Jana hali ilikuwa tete
Bahati nzuri my sister ni daktari bingwa ndo anayenitibu hivyo jana kanichoma sindano ambayo imesaidia kunituliza
Hivyo leo najisikia OK kama siku zote ninazokuwepo hapa japo naumwa ila ni kawaida tu
Changamoto ya maisha
............
Pole sana mkuu, Ugua pole.
Pole kamanda..
Wish you a quick recover!
Ahsanteni wadauPole sana kaka!
Mungu atakuponya tuu mkuu
1990 - Yemen ya Kusini na Yemen ya kaskazini zaungana na kuwa Yemen.
pole nduguJana hali ilikuwa tete
Bahati nzuri my sister ni daktari bingwa ndo anayenitibu hivyo jana kanichoma sindano ambayo imesaidia kunituliza
Hivyo leo najisikia OK kama siku zote ninazokuwepo hapa japo naumwa ila ni kawaida tu
Changamoto ya maisha
............
Pole asee Jombaa, vipi madaktari wanasemaje?Wadau leo nimeamka nafuu kidogo
Hivyo nimeona nijumuike nanyi
Siku zote nakuwepo hapa ila naumwa takribani mwezi mmoja sasa
In short nilipataga ajali
........
Goodmorning Madam dear.....have a fruitful weekGoodmorning sir have a Blessed and wonderful week and monday
Njema Mndali, mishughuliko inaendaje?Makapuku wenzangu nimewamis sana
Habari zenu
Inaenda vizuri mkuu wangu habari ya ujenzi wa taifaNjema Mndali, mishughuliko inaendaje?
1946 - George Best anazaliwa.
Mchezaji mashuhuri wa zamani wa Man Utd.
Fresh ndugu yangu.....nikutakie siku njemaInaenda vizuri mkuu wangu habari ya ujenzi wa taifa
Asante kiongozi nawe piaFresh ndugu yangu.....nikutakie siku njema
Asante kiongozi nawe pia
1987 - Novak Djokovic anazaliwa.
Mcheza Tennis mashuhuri kutoka Serbia
Pole sanaWadau leo nimeamka nafuu kidogo
Hivyo nimeona nijumuike nanyi
Siku zote nakuwepo hapa ila naumwa takribani mwezi mmoja sasa
In short nilipataga ajali
........
Ooh yesWiki hii tunatarajia kufikia 200k