Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
Karibu, atakuandalia bila shaka kabisa
IPOHHaina shida

Skul vipi?ha haa ha muda mrefu sana nipo nje ya jf nimesahau mpaka kuandika kistaarabu.
Bwahahahahaaaaa Abiria......Hapana, huyo sio mwafunzi
basi nifundishe wewe ticha shululu

Mmmh
Hizi sasa fitna
Kwanini tu usimuache Obe aseme mwenyewe kama hatampenda??

Mmmh
Weka picha
No..mi ni TissRapa ujue....tunajuana flani ivi
Wapi hapo?nakuona nakuona nyingi mkuu 🙂🙂🙂
Unafukua makabuliSkul vipi?
makabuli-makaburiUnafukua makabuli

ahhaha sio fitna jimena ngoja aje ujioneeMmmh
Hizi sasa fitna
Kwanini tu usimuache Obe aseme mwenyewe kama hatampenda??
ahahahbasi nifundishe wewe ticha shululu
khaaaaa si kwa utetezi huo shemelaTumosa huyu sweetiepie ni jirani yetu, kwenye ile nyumba mzuri uliyokuwa unaiulizia nikakuambia haikaliwi na watu, ndio huyo jirani amerudi, alikuwa kwao huko nyehunge Kanda pendwa