Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
tehPicha ni picha tu
tehPicha ni picha tu
Chelsea mpaka rahaaaa hongereni sana mlistahili
yanga mbona hamjashangilia hivi jamaan mlikua hamjiamini au sbbu ya rufaa ya point 3 za fifa tunazosubili
Utambulisho, sio utetezi shemelakhaaaaa si kwa utetezi huo shemela
Poa tu binamu hongereni sana leo naona safari zitakukoma bakurutu sisi futuhi acha tuwapongeze tu hakuna namnaAuntie vipi mambo! Nami nimefurahi sana na nimeliangalia game la leo la Chelsea.
Mzima lakini
![]()
Poa tu binamu hongereni sana leo naona safari zitakukoma bakurutu sisi futuhi acha tuwapongeze tu hakuna namna
Na wewe jumatano unapigwa aiseePoa tu binamu hongereni sana leo naona safari zitakukoma bakurutu sisi futuhi acha tuwapongeze tu hakuna namna
Dah siju ulifikilia nini kutufananisha na futuhi nikiona neno futuhi tu nakukumbukaHa hahhahaha, Manchester United na Arsenal mnaungana pamoja katika kugombea airtime na Futuhi😀
hakuna namna shemela acha tupigwe tu ndio zetu hizo kupigwaNa wewe jumatano unapigwa aisee
NiniDah siju ulifikilia nini kutufananisha na futuhi nikiona neno futuhi tu nakukumbuka
Nashukuru kwa kulitambua hilo shemelahakuna namna shemela acha tupigwe tu ndio zetu hizo kupigwa
Mm zitanpita pemben hzo kesi Shululu wngu ananitoshawanafunzi na waalimu wana kesi nyingi za mapenzi siku hizi
Hivi ni nini kinaongelewa katika huu uzi hadi comments ni nyingi kiasi hiki?Karibu tuusongeshe
Bac sawaYeah nawekaga miziki ya kale ndio maana.
Poa mkuuManbow???
Nashukuru aseeKaribu
Huku no stress
![]()
![]()
![]()
![]()
Ooooh nashukuru hny,jran karibu tupoTumosa huyu sweetiepie ni jirani yetu, kwenye ile nyumba mzuri uliyokuwa unaiulizia nikakuambia haikaliwi na watu, ndio huyo jirani amerudi, alikuwa kwao huko nyehunge Kanda pendwa
Nmeahirisha kymfundsha huyo atamfundsha baba mwenye nyumba mwenyeweUmekubali kuachia mzigo Shululu... Shauri yako... Mimi pia nilikuwa mwalimu zamani.... Nayakumbuka.... Uhusiano wa mwalimu na mwanafunzi... Halafu wanakaribiana umri.... Hmm.