Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
jaman eb acheni hizi mambo za utamu sijui niniOk hujasema..... Saa ngoja tukuulize.... Lee mtamu Shunie?
jaman eb acheni hizi mambo za utamu sijui niniOk hujasema..... Saa ngoja tukuulize.... Lee mtamu Shunie?
Unataka tuishieni kwake???aah kumbe! unafaa kuwa ticha eh
Joshy pls utani wa hivi sipendi kabisa yaan nimemaanishaYah shululu!
Hata shunie analitambua hilo!
Sema sijui najisahau vipi mpaka inakuwa hivyo.
Huwezi sasa imekuwa kero kwa watu wangu wa karibu ila nachukulia poa tu kwa sababu najua kuna kitu kinanivuta kwenda kwa shunie siyo bure!
Nouma sana mkuu.. huyo mtoto shunie ameuteka moyo wangu bila ya yeye kujua.

Atajipaje moyo sasa

Umeonaeeh!!!Huyo huwa anaonekana akiwa na habari za Chelsea tu
teh teh hapana braza sipo huko kabisaHahaaa!
Ila si ndio fani yako mkuu? Ama nakosea?
Lakini Kitabu hakuwa anaandika xaxadah,kulitokea shinikizo ikabidi niombe ifutwe!...xaxa inanibidi nitumie hii.

Nani alikushinikiza tena aiseedah,kulitokea shinikizo ikabidi niombe ifutwe!...xaxa inanibidi nitumie hii.
Ndivyo alivyoUmeonaeeh!!!
Haina shidaMsimu ujao tunakucheki na Futuhi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bac niwe mwalimu wakoaah kumbe! unafaa kuwa ticha eh
ha haa ha muda mrefu sana nipo nje ya jf nimesahau mpaka kuandika kistaarabu.Lakini Kitabu hakuwa anaandika xaxa![]()