shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Aisee, haya inunueKama hiyo kesi inalipa nitsinunua
Aisee, haya inunueKama hiyo kesi inalipa nitsinunua
Wewe najioneaa kwa machoLee mimi sina kesi, ila unawasikiliza watu sana, na shemela wangu anakupenda na anamsimamo sana
Haina wasiwasi.Ila asikuumizee
Maana wengine wanene
Kuliko![]()
Ankali hamna hata introduction??Niko poa kabisa my swi wangu
Kwenye barua shimba ya buyenze anahusikaNilimpa ila nahisi aliisoma juu juu na hakuelewa![]()
Haina wasiwasi.

Husna Muba hajambo?
WoyooooooooooNafasi iko wazi, nahitaji mchumba wa Makapuku tu, siwezi kuwa single humu akati boys mpo.

Mi mwenyew meshangaaAnkali hamna hata introduction??
Kaka niachiee haws jamaaKama hiyo kesi inalipa nitainunua
Noo ananisimulia umeiba mkewewe ambaye ni dadangu, so kwenye hiyo kesi ninamaslahi nayokwanini
Inaonekana wewe na lee mmeniamkia Leo
Poa niaje EngineerMukongo mambo

Itabidi ukae naye chini umuweke sawa kuhusu familia yakeNimemuona mwanangu
Mutu ya kongoAmen.....the Same to you Dear![]()
Kea hiyo unaona wivu kunitajaaHajakusahau jombii.....anakutajataja sana mpaka.....![]()
![]()
![]()
![]()
Mi natafuta mke wa pili

Porini ulikuwa na macho, shemela alikuwa halali kwa ajili yakoWewe najioneaa kwa macho
Habari za uzima ?Nimemuona mwanangu
Umeuguaa chekeleaa
Ankali unapotea sanaAnkali hamna hata introduction??