Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Salamahny unaendleajeUmeamkaje mtima wangu
Salamahny unaendleajeUmeamkaje mtima wangu
Hajakusahau jombii.....anakutajataja sana mpaka.....Ma kunisahau ushanisahau

Ila asikuumizeeHakuna kitu kizur kama kudondokewa na Binti![]()


Kama hiyo kesi inalipa nitainunuaUsimsikilize Lee atakuuzia kesi
Mimi Kofi AnnanNasumbua au nyie ndo mnasumbua Na wewe unachokitaka utakipata
Lee mimi sina kesi, ila unawasikiliza watu sana, na shemela wangu anakupenda na anamsimamo sana


Ca va bien PapaaCa va!
Yalikuwepo ndioYalikuwepo??![]()
Amen asanteUwe na jumapili njema mama mchungaji
ndetiKaribu sir ubarikiwe sana jumapili njema yenye baraka tele![]()
![]()
Atakuja tuNdio alafu demi mshauri wangu simuonii
Nilimpa ila nahisi aliisoma juu juu na hakuelewaYeye ulimpa barua

Nimemuona mwananguLee anakutafuta
Niko poa kabisa my swi wanguSalamahny unaendleaje
Amen.....the Same to you DearBwana Asifiwe ,unaendeleaje?ubarikiwe sana haveva wonderful Sunday![]()
![]()
