Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Haswaa, unaendeleaje nduguAje wakuu
Mko poa..
Haswaa, unaendeleaje nduguAje wakuu
Mko poa..
Cameroon walitolewa na Uingereza kwa figusu figisu figisuRekodi bado ipo imesimama haijavunjwa.
Kikosi kile cha Cameroon mwaka 1990 kilimfanya marehemu Pepe Kalle kutunga nyimbo mahsusi kwa Roger Milla na kikosi kizima cha Simba Wasiofugika ( Indomitable Lions ).
Ikumbukwe mechi ya ufunguzi wa Kombe la Dunia mwaka 1990 pale Italy, ilkuwa ni Argentina ( Mabingwa watetezi ) dhidi ya Cameroon.
Mechi iliisha kwa Cameroon kuifunga Argentina 1-0 , huku Diego Armando Maradona akibanwa vilivyo kabisa ( Man marking ) na Emanuel Kunde na matokeo hayo kuishangaza Dunia.
Cameroon ikaenda hadi robo fainali alitolewa na England. Hivyo kuwa timu ya kwanza ya Afrija kufika robo fainali ya WC.
Pamoja sana mkuuShukrani mkuu Mussolin5 kwa historia
Shukrani le dictator Mussolin5 kwa mara nyingine tena8. Fainali ya kombe la Dunia ilikiwa ni Argentina Vs Ujerumani.
Ambapo ilikuwa ni marudio ya fainali ya mwaka 1986 iliyofanyika Mexico.
Safari hii Ujerumani alilipa kisasi kwa kuifunga Argentina bao 1-0 na kutwaa ubingwa huo.
Hayi ni mambo kadhaa ya kukumbukwa ambayo niliona nishee nanyi.
Pamoja sana mkuu![]()
Ufaransa aliondolewa kwa aibu kwenye hatua ya makundi bila kuambulia hata kagoli kamoja nafikiri![]()
.
.
.
Tukutane baadaye mdau
Nikutakie siku njema
.......
Amen mkuuShukrani le dictator Mussolin5 kwa mara nyingine tena
Na wao wakaenda kufia kwa Mjerumani.Cameroon walitolewa na Uingereza kwa figusu figisu figisu
Safi tuHaswaa, unaendeleaje ndugu
Hii sheria imesaidia sana kuuweka mchezo kuwa wa makini sana4. Michuano hiyo ndio ilikuwa ya mwisho kabisa kwa mabeki kuwarudisha makipa wao mipira na kuidaka. Sheria mpya ikaamza mpira wa kurudishiwa kipa hatakiwi kuudaka kwa mikono.
Asante musolini8. Fainali ya kombe la Dunia ilikiwa ni Argentina Vs Ujerumani.
Ambapo ilikuwa ni marudio ya fainali ya mwaka 1986 iliyofanyika Mexico.
Safari hii Ujerumani alilipa kisasi kwa kuifunga Argentina bao 1-0 na kutwaa ubingwa huo.
Hayi ni mambo kadhaa ya kukumbukwa ambayo niliona nishee nanyi.