Sasa kumbe mnajuana kabisa sasa mimi kazi yangu ninishemela lee wako leerapa
lee wa kwangu mm ni mwarabu sio mweusi kila siku nakwambia lee sio mweusi au unataka kumbadilisha rangi
Amina mkuuMapenzi bila kupendana? Subiri tu..siku moyo wangu ukimdondokea mtu utakuwa wa kwanza kujua.
Usijali, soon utadondokewaWala sina hofu yoyote Mkuu, tatizo sipendeki eti kisa avatar yangu ni mbaya.
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
Ametoka YMCMBSiku hizi hasikiki sana
uko poa lakiniMume karidhia niwe mshauri wake. Sijamlazimisha
wewe uko poa ,nimekutana na mchepuko wakoOooh!
I feel like its my time to instruct you now..
mimi mweusiishemela lee wako leerapa
lee wa kwangu mm ni mwarabu sio mweusi kila siku nakwambia lee sio mweusi au unataka kumbadilisha rangi
Wangejua tuu lee mweusi kama nini.. hahahaaa
Hayo mambo ya kukutana..oohh
Niko hapa London Bridge nimevaa White shirt..
Ooh, niko Golden Stone nimevaa gauni la njano..
After 3minutes.. namba haipatikani tena...
Hahahaaa...
AiseeMjengo ulikuwa wa Tyson huo na alipofulia ndiyo huyu dogo akaununua. Shida ya hawa ni kwamba wengi wao wana matumizi mabovu na wana madeni ya kutisha. Kuna siri nyingi katika utajiri wao huu ndiyo maana wengi wana matatizo ya kodi kwa sababu huwa wanaogopa ku-file tax returns wakiogopa utajiri wao halisi kujulikana. Sababu hii hii ndiyo inamfanya Trump agome kabisa kutoa makaratasi yake ya kodi. Ni tajiri lakini wengi wanaamini kuwa siyo tajiri kama anavyojigamba. All in all they did good!
Shukrani mkuu1/Andre Romelle YoungHuyu jamaa huko kwa Trump nu kama Mkubwa Fella wasanii kibao wamepitia kwake
Ni prodyuza abayefahamika kwa jina la Dr Dre jamaa kweli ni daktari wa muziki
Ana umri wa miaka 49
Anamiliki studio na vitega uchumi kibao
Ana utajiri wa USD 790 Milioni
.
.
.
.
.
.
.Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
..............
mkuuuAisee
Naammkuuu
uko poaNaam
Niko poa mkuuuko poa