Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
AsanteKaribu sana
AsanteKaribu sana
MITHALI 3

Shukrani sana Shimba WA BUYENZE nashukuru nimemaliza masomo yangu salama huko Tel Aviv nchini Israel, nafurahi sana kwa sapoti yenu sababu hamkuniacha peke yangu hadi wakati huu wasasa ambao nimerejea tena hapa.Karibu tena. Uliondoka kabla sijawa mwenyeji sana hapa Makapuku. Wakati ule nilikuwa nachungulia tu na kupotezea. Kamwe sikuota kuwa siku moja patakuja kuwa kimbilio langu la kuondoa stress na kujifunza mambo mbalimbali kuanzia historia (Dikteta Mussolini anatusomesha sawa sawa), muziki (tunafundishwa na Obe), Habari za magazetini (Shululu), top ten pamoja na Je Wajua (Madenge na makapuku wengineo), Mambo ya imani (Mtumishi Blessed Hope anahakikisha hatuendi motoni), Ulimbukeni wa Mapenzi (Shedede na "mkewe") pamoja na utani na vichekesho visivyo na mwisho kutoka kwa akina Shunie, Husna, Tumosa, Sakayo na mumewe) na makapuku wengine.
Hongera kwa kumaliza masomo na karibu tena. Bila shaka tutafaidika na ulichojifunza huko Israeli. Hata kama ni zile ishu za jamaa wa Mossad we tumegee tu. Blessings!
Why should I change my life? Turn down for what?Usiku mwema watu wa Mungu View attachment 510782



KaribuNipo
Ipogolo ya iringa auMatokeo ya mechi zilizochezwa jana yanakujieni kwa udhamini wa ipogolo
Ni mtuIpogolo ya iringa au
Hongera kwa kumaliza masomo yako na karibu tena nyumbaniShukrani sana Shimba WA BUYENZE nashukuru nimemaliza masomo yangu salama huko Tel Aviv nchini Israel, nafurahi sana kwa sapoti yenu sababu hamkuniacha peke yangu hadi wakati huu wasasa ambao nimerejea tena hapa.
Nafurahi kuona mambo yote yanaenda vizuri na hakuna chochote kilichokwama...
Pia nichukue nafasi hii kuwatumia salamu zangu za pongezi wote ambao mlikuwa hapa kuhakikisha kuwa hakiribiki kitu.
Nawapenda wote
AmenMITHALI 3
24.Ulalapo hutaona hofu;Naam, utalala usingizi wako utakuwa mtamu
TUOMBE
Asante Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa,tunaomba toba kwa yote tuliyokosea,asante kwa kuwaponya wagonjwa wetu,kuwapa faraja wafiwa na mayatima,tunakuomba endelea kukaa nasi Baba peke yetu hatuwezi.
Walinde wasafiri ,bariki ndoa na wote wanaotarajia kuingia kwenye ndoa,wasaidie wanaotafuta wenza wapate wa kufanana nao.
Baba tunaomba utukumbatie kama kuku anavyokumbatia vifaranga vyake.
Tunaenda kinyume na pepo wabaya na nguvu zote za giza damu yako ya thamani inene mema usiku wa leo.
Asante Baba kwa sababu utatenda sawa na mapenzi yako.
Tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen
MLALE SALAMA![]()
![]()
Huwa nafurahi kila nikiona post yako humu maana huishi kumchokoza ShedebeKaribu tena. Uliondoka kabla sijawa mwenyeji sana hapa Makapuku. Wakati ule nilikuwa nachungulia tu na kupotezea. Kamwe sikuota kuwa siku moja patakuja kuwa kimbilio langu la kuondoa stress na kujifunza mambo mbalimbali kuanzia historia (Dikteta Mussolini anatusomesha sawa sawa), muziki (tunafundishwa na Obe), Habari za magazetini (Shululu), top ten pamoja na Je Wajua (Madenge na makapuku wengineo), Mambo ya imani (Mtumishi Blessed Hope anahakikisha hatuendi motoni), Ulimbukeni wa Mapenzi (Shedede na "mkewe") pamoja na utani na vichekesho visivyo na mwisho kutoka kwa akina Shunie, Husna, Tumosa, Sakayo na mumewe) na makapuku wengine.
Hongera kwa kumaliza masomo na karibu tena. Bila shaka tutafaidika na ulichojifunza huko Israeli. Hata kama ni zile ishu za jamaa wa Mossad we tumegee tu. Blessings!

Huwa nafurahi kila nikiona post yako humu maana huishi kumchokoza Shedebe![]()
![]()
![]()