Makapuku Forum

Makapuku Forum

MITHALI 3

24.Ulalapo hutaona hofu;Naam, utalala usingizi wako utakuwa mtamu

TUOMBE

Asante Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa,tunaomba toba kwa yote tuliyokosea,asante kwa kuwaponya wagonjwa wetu,kuwapa faraja wafiwa na mayatima,tunakuomba endelea kukaa nasi Baba peke yetu hatuwezi.
Walinde wasafiri ,bariki ndoa na wote wanaotarajia kuingia kwenye ndoa,wasaidie wanaotafuta wenza wapate wa kufanana nao.
Baba tunaomba utukumbatie kama kuku anavyokumbatia vifaranga vyake.
Tunaenda kinyume na pepo wabaya na nguvu zote za giza damu yako ya thamani inene mema usiku wa leo.
Asante Baba kwa sababu utatenda sawa na mapenzi yako.
Tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen

MLALE SALAMA
 
Karibu tena. Uliondoka kabla sijawa mwenyeji sana hapa Makapuku. Wakati ule nilikuwa nachungulia tu na kupotezea. Kamwe sikuota kuwa siku moja patakuja kuwa kimbilio langu la kuondoa stress na kujifunza mambo mbalimbali kuanzia historia (Dikteta Mussolini anatusomesha sawa sawa), muziki (tunafundishwa na Obe), Habari za magazetini (Shululu), top ten pamoja na Je Wajua (Madenge na makapuku wengineo), Mambo ya imani (Mtumishi Blessed Hope anahakikisha hatuendi motoni), Ulimbukeni wa Mapenzi (Shedede na "mkewe") pamoja na utani na vichekesho visivyo na mwisho kutoka kwa akina Shunie, Husna, Tumosa, Sakayo na mumewe) na makapuku wengine.

Hongera kwa kumaliza masomo na karibu tena. Bila shaka tutafaidika na ulichojifunza huko Israeli. Hata kama ni zile ishu za jamaa wa Mossad we tumegee tu. Blessings!
Shukrani sana Shimba WA BUYENZE nashukuru nimemaliza masomo yangu salama huko Tel Aviv nchini Israel, nafurahi sana kwa sapoti yenu sababu hamkuniacha peke yangu hadi wakati huu wasasa ambao nimerejea tena hapa.

Nafurahi kuona mambo yote yanaenda vizuri na hakuna chochote kilichokwama...


Pia nichukue nafasi hii kuwatumia salamu zangu za pongezi wote ambao mlikuwa hapa kuhakikisha kuwa hakiribiki kitu.

Nawapenda wote
 
Usiku mwema watu wa Mungu
17818305_973981592736370_5716604374373892096_n.jpeg
 
Usiku mwema watu wa Mungu View attachment 510782
Why should I change my life? Turn down for what?

Ushauri wa maisha bwana siku hizi kila kona mtandaoni. Zamani mambo haya ilibidi mpaka ukalishwe chini na wazee "hashikome" usiku kijijini Kolomije. Natumaini kizazi hiki kitakuwa powa balaa
 
Shukrani sana Shimba WA BUYENZE nashukuru nimemaliza masomo yangu salama huko Tel Aviv nchini Israel, nafurahi sana kwa sapoti yenu sababu hamkuniacha peke yangu hadi wakati huu wasasa ambao nimerejea tena hapa.

Nafurahi kuona mambo yote yanaenda vizuri na hakuna chochote kilichokwama...


Pia nichukue nafasi hii kuwatumia salamu zangu za pongezi wote ambao mlikuwa hapa kuhakikisha kuwa hakiribiki kitu.

Nawapenda wote
Hongera kwa kumaliza masomo yako na karibu tena nyumbani
 
MITHALI 3

24.Ulalapo hutaona hofu;Naam, utalala usingizi wako utakuwa mtamu

TUOMBE

Asante Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa,tunaomba toba kwa yote tuliyokosea,asante kwa kuwaponya wagonjwa wetu,kuwapa faraja wafiwa na mayatima,tunakuomba endelea kukaa nasi Baba peke yetu hatuwezi.
Walinde wasafiri ,bariki ndoa na wote wanaotarajia kuingia kwenye ndoa,wasaidie wanaotafuta wenza wapate wa kufanana nao.
Baba tunaomba utukumbatie kama kuku anavyokumbatia vifaranga vyake.
Tunaenda kinyume na pepo wabaya na nguvu zote za giza damu yako ya thamani inene mema usiku wa leo.
Asante Baba kwa sababu utatenda sawa na mapenzi yako.
Tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen

MLALE SALAMA
Amen
 
Karibu tena. Uliondoka kabla sijawa mwenyeji sana hapa Makapuku. Wakati ule nilikuwa nachungulia tu na kupotezea. Kamwe sikuota kuwa siku moja patakuja kuwa kimbilio langu la kuondoa stress na kujifunza mambo mbalimbali kuanzia historia (Dikteta Mussolini anatusomesha sawa sawa), muziki (tunafundishwa na Obe), Habari za magazetini (Shululu), top ten pamoja na Je Wajua (Madenge na makapuku wengineo), Mambo ya imani (Mtumishi Blessed Hope anahakikisha hatuendi motoni), Ulimbukeni wa Mapenzi (Shedede na "mkewe") pamoja na utani na vichekesho visivyo na mwisho kutoka kwa akina Shunie, Husna, Tumosa, Sakayo na mumewe) na makapuku wengine.

Hongera kwa kumaliza masomo na karibu tena. Bila shaka tutafaidika na ulichojifunza huko Israeli. Hata kama ni zile ishu za jamaa wa Mossad we tumegee tu. Blessings!
Huwa nafurahi kila nikiona post yako humu maana huishi kumchokoza Shedebe
 
NUKUU YA LEO

If you want something New, you have to stop doing something old


Kama unataka kitu kipya, unapaswa kuacha kufanya kitu cha zamani
a282142d207e0ac182b3ef1bb0c39065.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mkufunzi, mwalimu na mwandishi wa mambo ya utawala na uongozi Bw. Peter Fernand Drucker.

Peter Drucker alizaliwa November 19 1909 nchini Austria na kufariki November 11 2005 ktk jiji la carlifonia nchini marekani.

Peter Drucker ni mkufunzi na mbobezi wa masuala ya uongozi na utawala..Amefanya kazi nyingi katka muda wa miaka 95 aliyoishi dunia

Peter Drucker ndio Father of modern management.
2f1f6e566faf34fd13d27e6efad65df2.jpg
d18591bc0ad14f14291615aa83954e24.jpg

Back to Jf and kapukuz..

Ukitaka mambo mapya acha kufanya mambo ya zamani..

Maisha ni yako, uamuzi ni wako, hatua ni zako wewe mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom