Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Shukrani sanaSawa mama lao
Karibu sana
.
.
.
Usiku mwema wadau wote
.......
Shukrani sanaSawa mama lao
Karibu sana
.
.
.
Usiku mwema wadau wote
.......
Kwema kabisa, shemela sijui kapotelea wapi aiseemkubwa kwema ?
Panda juu kidogo utakuta ngoma zakeTutasaidiana Obe ondoa shaka, huwa unaweka lini mangoma?![]()
Pamoja sanaMiss u mo katibu.
Karibu sana katibu. Kesho mungu akipenda.
Nawe pia jiraniUsiku mwema guys!
Mkuu huyo hutupiaga asubuhiHii itakuwa poa sana mdau, napenda oldies pia. Jukwaa litachangamka sana.
Utakuwa unapandisha siku gani, au siku zote za juma. Naweza kuwa natupiatupia kama utakuwa na uchaguzi wa siku ili tuifanye iwe ya kipekee zaidi
Poa haina noma....kama kawa ntakuwa naleta muda ule ule na siku zile zileKila mtu aendelee na chake
Hakuna ubaya wowote
One yy analetaga wa hapa hapa zaidi na hata wa mamtoni
Ww unaletaga wa mamtoni
Hakuna tatizo lolote maana hamtapost kitu kimoja
.........
Kwa mujibu wa mwenyekiti ni kuwa ulikuwa masomoni Israel, naona umemaliza Hongera sanaMiss you mwenyekiti
Katibu nimerejea katika ubora wangu
Mkuu huyo hutupiaga asubuhi
Wewe usiku
Hivyo wote fanyeni mambo
Sioni tatizo lolote sanasana ndo burudani itaongezeka
Hivyo endelea usiache
.......
Nawe piaSawa mama lao
Karibu sana
.
.
.
Usiku mwema wadau wote
.......
Naangalia man six hapaSawa mama lao
Karibu sana
.
.
.
Usiku mwema wadau wote
.......

Ni km kipindi kile alikuwepo MALCOLM LUMUMBA(Cobrepots) alikuwa akituburudisha usiku wewe asubuhiPoa haina noma....kama kawa ntakuwa naleta muda ule ule na siku zile zile
Musso yani sio kupotea mtaa huu tu...JF kwa ujumla sikuwepo siku mingi tu. Nimefanya kuidownlod leo aisee.Usiku mwema pia, though ni siku mingi sana sijakuona vile ukikatiza kwa mtaa huu.
Usiku mwema pia, though ni siku mingi sana sijakuona vile ukikatiza kwa mtaa huu.

Hakika mwenyekitiMimi nikiwa kama Mwenyekiti sina budi zaidi ya kumwambia my katibu " Welcome back "
Ni mechi ya kujifurahisha tu hiyo haina maanaNaangalia man six hapa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mi mambo yangu ni weekendHii itakuwa poa sana mdau, napenda oldies pia. Jukwaa litachangamka sana.
Utakuwa unapandisha siku gani, au siku zote za juma. Naweza kuwa natupiatupia kama utakuwa na uchaguzi wa siku ili tuifanye iwe ya kipekee zaidi
! Jumamosi na Jumapili mchana mchana na Jioni. Yeah jukwaa huwa linanoga sana!AnasemajeNawaangalia Real Madrid hapa wakikichapa na Celta, tunaongoza ila huyu mtangazaji wa kiarabu anafurahisha zaidi
