Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Kibongo bongo nikama nusu ya watz3/Nigeria![]()
![]()
Nchi hii ya matapeli wa Afrika Magharibi bangi ni haramu lakini wanapuliza ni km kawa
14% ya Wanigeria ni wavuta bangi
Yaani watu Milioni 25
........




Asante sanaTupo, karibu
Kafanyaje tena mkuu?Shemeji yetu husna muba
Aaante mkuuKaribu nyumbani
AsanteKaribu
Idadi ya wavuta bhangi india sawa na idadi ya wabongo2/India
Kwa kipindi kirefu bangi ilikuwa ni halali hadi hapo karne ya 19 walipoanza nongwa na hivyo kuwa haramu![]()
3.4% wanavuta bang(i ila kumbukeni Wahindi wapo bilion i1.2 inashika #2 kwa idadi ya watu duniani nyuma ya China)
Wahindi Milioni 39 ni wavuta bangi
.......
Wanigeria na Waghana wanaongoza kwa utapeli AfrikaDuuh!
Na wanasema ukisafiri kwa ndege uwe makini sana na wanaijeria... Hawachelewi kuficha madawa ya kulevya kwenye mizigo yako ili upite kwenye kufanyiwa sachi... Ukitoka salama wanajifanya wamesahau kitu kwenye begi lako
Asante sanaKaribu tena
Bangi haipotezi kama Noah nyeusi ingekuwa halali watu wangejitambuana vijana wangekwisha
AsanteKaribuuu
Tupo karibuMpo wakuu wa hapa
Paprika...Asante sana
Wabongo population tunakaribia Milioni 50 sasaIdadi ya wavuta bhangi india sawa na idadi ya wabongo
Pole sana bibie PaprikaNimekoma kutangatanga kwa watu jamani!!!
Nimerudi nyumbani...
![]()
Duuh! Inasemekana hawa wanaijeria, wanapatikana katika kila jela dunianiWanigeria na Waghana wanaongoza kwa utapeli Afrika
Waghana washawahi kuuliza hadi ubalozi wa Marekani kwa kutengeneza Visa feki
Bangi zinawapa mzuka
......


Hawa ni kiboko3/Nigeria![]()
![]()
Nchi hii ya matapeli wa Afrika Magharibi bangi ni haramu lakini wanapuliza ni km kawa
14% ya Wanigeria ni wavuta bangi
Yaani watu Milioni 25
........
AbeePaprika...
Asante NyageiPole sana bibie Paprika
Karibu nyumbani tena.