Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Canada
677422b49b8842a32d2ad5f8145bb46c.jpg
8c586e961565161f852e37fc128fcc19.jpg

Kwenye baadhi ya majimbo kuvuta bangi ni ruksa unavuta unavyojisokia hadi upagawe mfano jimbo la British Columbia inatumika kwa ajili ya matibabu na viwanda
12% ya Wacanada ni wavuta bangi
Yaani watu milioni 4.5
.......
 
9/Hispania
4bf31bdcb3b4530d168be82ff16c25ff.jpg
439beb3ec448dfba926c298692f33258.jpg

Hawa akina Ander Herrera huko ni ruksa kulima bangi pia unaruhusiwa kuvuta bangi ukiwa nyumbani kwako,club maalumu na sehemu zingine
25% ya Wahispaniola wanavuta sigara kubwa
Yaani watu Milioni 4.8 ni wavuta/watumia bangi
.....
 
ISAYA 43

1.Lakini ,sasa BWANA aliyekuhuluku,Ee Yakobo,yeye aliyekuumba .Ee Israel,asema hivi,USIOGOPE,maana nimekukomboa;nimekuita kwa jina lako,WEWE U WANGU...(SISI NI WA MUNGU)

HAPA TUNAITWA KWA MAJINA YETU

-FAKALAVA
-LEE EMPIRE
-OBE
-WERASSON
-SHUNIE
-SHULULU
-CYLKEI
-NYAGEI
-MUSSOLIN5
-SHIMBA YA BUYENZE
-BITOZ
-SHEDEDE
-TUMOSA
-MONDRAY
-QUIGLEY
-SAKAYO
-TRANCSEND
-VALENTINA
-BLESSEDHOPE
-BAILY5
-HUSNA MUBA
-IPOGOLO
-UKHUTHY
-QUEEN
-TETRA....
-ARCHIDUKE
-SNIPES
-MNDALI
-MSAKA-UCHAWI
-DINGIMTOTO
-MAKAPUKU WOTE
NA WENGINE SIJASHIKA MAJINA (MNISAMEHE)UJUMBE HUU UNATUHUSU ASUBUHI YA LEO

2.Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe,na katika mito ,haitakugharikisha,uendapo katika moto hutateketea,wala mwali wa moto hautakuunguza.

3.Maana mimi ni BWANA MUNGU wako ,MTAKATIFU wa Israel,MWOKOZI wako ,nimetoa Misri kuwa ukombozi wako ,nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako.

4.Kwakuwa ulikuwa waTHAMANI MACHONI PANGU,na mwenye KUHESHIMIWA,nami NIMEKUPENDA,Kwasababu hiyo nitatoa WATU kwa ajili yako ,na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako

5.USIOGPE MAANA MIMI ni PAMOJA nawe,nitaleta wazao wako toka magharibi.


Wapendwa Mungu anatupenda sana ,na ametupa matumaini ya kuishi kwa furaha na hata TUSIOGOPE

TUSIOGOPE MAANA YUKO PAMOJA NASI.ANATUPENDA,ANATUTHAMINI,ANATUJALI

WOGA HULETA KUKATA TAMAA NA HAKIKA HATUPASWI.

KWALOLOTE TUNALOPITIA TUMTANGULIZE MUNGU MBELE YEYE NDIO MUANZILISHI NA MMALIZIAJI WA MAISHA YETU.

TUFANYE KAZI KWA BIDII,TUMHESHIMU,TUMPENDE NA HAKIKA TUTAYAONA MEMA MENGI NA AHADI ZAKE ZOTE ZITATIMIA

TUOMBE

Baba asante kutuamsha salama
Asnte kwa upendo wako usio na mwisho
Tunaomba ututoe roho ya woga na tukutumaini wewe siku zote za maisha yetu

Tufundishe kukupenda ,kukutii,kukuheshimu maana itatujenga kuwa na Upendo kuwa watii na kujiheshimu daima.
Tunaomba toba kwa makosa yetu yote,na utusaidie tuwasamehe wale wote waliotukosea ili tusonge mbele.
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa na wote wanaopitia changamoto yoyote..WASIOGOPE.

ASANTE BABA KWA KUWA UTATUPA KUSHINDA
Naomba katika jina la Yesu Amen

SIKU NJEMA...MSIOGOPE
Ubarikiwe kwa ujumbe mzuri...!!
 
[B[TOP TEN[/B]
e6baa256122f863c137f18e245e0414a.jpg

Umewahi kuvuta sigara kubwa?
Kwa hapa Bongo inaonekana ni nongwa na serikali imeamua kuifanya kuwa ni dawa ya kulevya ila kwa nchi zingine ganja sio ishu unaweza kujipulizia tu tena hadharani
Sasa nchi zenye wavuta bangi wengi zaidi duniani
Kigezo kilichotumika ni idadi ya wanaovuta na siyo asilimia....hivyo Jamaica hapo japo ni maarufu Hii inatokana na kuwa na wananchi wachache
Karibuni
.......
Nipo tayari mkuu
 
8/Misri
0427cd06756b302c1d1d59ecfbbd4c8b.jpg
3c379b9bca83d19143901ab935400024.jpg

Kweli bangi haina mwenyewe yaani hawa watu wa swala 5 nao wamo!!!
Wamisri wa kale waliitumia zaidi kwa ajili ya matibabu na kujiburudisha
Sasa hivi kizazi chao kinapuliza bangi hatari
6.2% ya Wamisri wanapuliza na kutumia sigara kubwa
Yaani watu 5.4 miliomi
......
 
10/Canada/b]
677422b49b8842a32d2ad5f8145bb46c.jpg
8c586e961565161f852e37fc128fcc19.jpg

Kwenye baadhi ya majimbo kuvuta bangi ni ruksa unavuta unavyojisokia hadi upagawe mfano jimbo la British Columbia inatumika kwa ajili ya matibabu na viwanda
12% ya Wacanada ni wavuta bangi
Yaani watu milioni 4.5
.......
Bender yao tu ina alama ya bangi nafikiri mama rais wao mvuta bangi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom