haya lete mambo hayo![B[TOP TEN[/B]![]()
Umewahi kuvuta sigara kubwa?
Kwa hapa Bongo inaonekana ni nongwa na serikali imeamua kuifanya kuwa ni dawa ya kulevya ila kwa nchi zingine ganja sio ishu unaweza kujipulizia tu tena hadharani
Sasa nchi zenye wavuta bangi wengi zaidi duniani
Kigezo kilichotumika ni idadi ya wanaovuta na siyo asilimia....hivyo Jamaica hapo japo ni maarufu Hii inatokana na kuwa na wananchi wachache
Karibuni
.......
na vijana wangekwishaArdhi ingekwisha
Nakucklza wwe babaNzuri my swi, leo dinner twende kiwanja gani
Poa shem hali ykoWakuu habar ya Jioni
My love husna uko loan??
Tupo, karibuMpo wakuu wa hapa
Aisee4/Italy![]()
![]()
Ukikutwa unapuliza ganja hadharani unakamatwa na kupigwa faini kamwe huwezi kufungwa jela
5% ya Wataliano ni wavuta bangi
Sawa na watu milioni 9
........
Bange inatibu nn hnyNi dawa moja nzuri sana
Duuh!3/Nigeria![]()
![]()
Nchi hii ya matapeli wa Afrika Magharibi bangi ni haramu lakini wanapuliza ni km kawa
14% ya Wanigeria ni wavuta bangi
Yaani watu Milioni 25
........
Karibu nyumbaniNimekoma kutangatanga kwa watu jamani!!!
Nimerudi nyumbani...
![]()
Du nusu ya idadi ya wabongo ndio wanavuta3/Nigeria![]()
![]()
Nchi hii ya matapeli wa Afrika Magharibi bangi ni haramu lakini wanapuliza ni km kawa
14% ya Wanigeria ni wavuta bangi
Yaani watu Milioni 25
........
KaribuNimekoma kutangatanga kwa watu jamani!!!
Nimerudi nyumbani...
![]()
Mie mzima shemPoa shem hali yko
Karibu tenaNimekoma kutangatanga kwa watu jamani!!!
Nimerudi nyumbani...
![]()
KaribuuuNimekoma kutangatanga kwa watu jamani!!!
Nimerudi nyumbani...
![]()