Makapuku Forum

Halafu siku hizi wanajaza magarasa halafu wanasingizia Yanga inabebwa hebu angalia jeshi la Yanga kule mbele
Msuva ana goli 13
Obrey Chirwa 11 au 12
Amisi Tambwe 11 au 12
Donald Ngoma 08(Huyu hajacheza toka Jan/Feb)
.
Wao Simba wana akina Mavugo na Kichuya asiye na kiwango cha kudumu
Kipindi kile Yanga tulikuwa tunafungwa kila siku tukicheza na Simba hadi kuna siku tukaingia mitini bila kusahau zile 5 za aibu ambazo hadi Kaseja alifunga
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…