Makapuku Forum

Amen mama mchungaji

Nawe pia usiku mwema
 
kwa kuwa umeamua mwenyewe kwa akili zako bila kushurutishwa na shimba wa buyenzee nooo na mtu yeyote ..hutopata kiinua mgongo wala penshenii
 
kwa kuwa umeamua mwenyewe kwa akili zako bila kushurutishwa na shimba wa buyenzee nooo na mtu yeyote ..hutopata kiinua mgongo wala penshenii
Wakati mwingine nanyi matajiri mnapotaka kuajiri hata kama ni walinzi mfanye background check jamani. Hii itawaepusha na vioja kama hivi. Seriously, mlinzi wako huyo alikuwa kioja aisee. Na huyu ndiye ulimkabidhi uhai wa mkeo, na wanao? Una bahati sana!
 
ahahahaaaaa sema alikubana kila angle...

goodmorning lakini
 
Kunakucha. Tumshukuru Muumba wetu. Siku ya leo basi Muumba na Akatuwezeshe kutenda yaliyo mema machoni pake. Na zaidi ya yote tukaweze kuwasaidia wenzetu wenye shida ili kupitia kwetu wakaweze kuuonja upendo wa Muumba wao. Love you guys. I will be off the internet for at least 8 hrs.Tutaonana jioni Mungu Akipenda. Muwe na siku njema!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…