Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Usiku mwema na wewe dada akee love uuuuuuJamaniiii
Muwe na usiku mwema wote humu...
Nawapenda..
Tutakutana tena T akirudi...
Mkuu hujalima hapo uko jirani na pawaga wanalima mahindi ya kutoshaMakapuku wenzangu. Bei ya chakula inaniua.
Mahindi (dona, sembe) iko juu. Mchele balaa.
Nataka nichanganye mahindi debe na ngano kg 5 nissge unga.
Serikali haikuleta njaa, lakini ufariji tu.
Na 9932 hawana mshahara.
afu bby nilivyo iona iyo avatar nimestuka nikajua ety mods wamebadili jina langu
bby bana kwaiyo hutaki shunie akuzidi
Woyoooooooo kaweke wasomaji tupo siku mkiachana tupo kuwapa pole ndio mambo ya uzi hayohusna i love nitaweka uzi chit-chat bcoz i love you
hapana mpenzi wangu hana tabia hiyoMm tena niliyekuweka nimekua mchawi
mchukulie bby wifi ako huyoSometimes anaxingua
kwanini mkuuHii weekend ina mambo sana aisee
Unaongea na mm auhapana mpenzi wangu hana tabia hiyo
shemlakeMbona Sielewi
Kwa hiyo saizi unakula fungate au sasa kamasalute afande mimi saivi sio afande na boss amesema atajilinda mwenyewe
kaamua kunipunguzia majukumu nna mke saivi siunajua tena afande
kwanini mkuuShedede leo anakula weekend tu leo
Nami pia nimefurahSawa mkuu nimefurahi kukuona pande hizi
Oooh sawaJamaniiii
Muwe na usiku mwema wote humu...
Nawapenda..
Tutakutana tena T akirudi...
Mmh kwahiyo ulikua haujamuonaafu bby nilivyo iona iyo avatar nimestuka nikajua ety mods wamebadili jina langu![]()
![]()
![]()
bby bana kwaiyo hutaki shunie akuzidi
bado wewe tu kumuweka transcendYaani
Sijui Lee ni yupi wala Shunie
Sijui Shedede ni yupi wala Husna
What happen

hahahaha...h shululuShedede anakuja na kutoka, sasa hivi kaja na shemeji yetu kwa wakati mmoja

Nakuonaa nakuonaaashemlake
afu bby nilivyo iona iyo avatar nimestuka nikajua ety mods wamebadili jina langu![]()
![]()
![]()
bby bana kwaiyo hutaki shunie akuzidi
