Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
BaridaaahOooh sawa
BaridaaahOooh sawa
nawewe pia shemlakeJamaniiii
Muwe na usiku mwema wote humu...
Nawapenda..
Tutakutana tena T akirudi...
MpambeeWoyoooooooo kaweke wasomaji tupo siku mkiachana tupo kuwapa pole ndio mambo ya uzi hayo

Hahahabado wewe tu kumuweka transcend![]()
![]()
Poa babymchukulie bby wifi ako huyo
Ndioooo sisi tupo na sakayo wanguMpambee![]()
mmmmh unanitisha sasa sitawekaWoyoooooooo kaweke wasomaji tupo siku mkiachana tupo kuwapa pole ndio mambo ya uzi hayo
ndio bossUnaongea na mm au
nawe hupendi changamoto si utani tu jamaan usiwe kama wengine hawapendi utanimmmmh unanitisha sasa sitaweka
ulikua unasemaje hivindio boss
Nikweli mshamba mshamba hatuelewagi aitheena huwezi elewa
Sijamaanisha hivyoMm tena niliyekuweka nimekua mchawi
usichoelewa niniNikweli mshamba mshamba hatuelewagi aithee
sawaSijamaanisha hivyo
itabidi niongee na msukuma anitafutie mashamba nilime siunajua tena kilimo ndo uti wa mgongo wa taifa letuKwa hiyo saizi unakula fungate au sasa kama
umepumzishwa kazi utakula nini we na mke wako
Umeona eheeYaani
Sijui Lee ni yupi wala Shunie
Sijui Shedede ni yupi wala Husna
What happen
Leo kazidizake kusalimia tu na kusepa
itabidi niongee na msukuma anitafutie mashamba nilime siunajua tena kilimo ndo uti wa mgongo wa taifa letu
naamini msukuma atanisaidia kupata mashamba ...



msukuma ukuje unahitajika huku
ilikuwa inaleta white yaani majina ndo yalikuwa yanaonekanaMmh kwahiyo ulikua haujamuona
Mm jamaan mniache tuUmeona ehee