Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,976
MhUnaweza kuuliza kwa nia njema tu
MhUnaweza kuuliza kwa nia njema tu
Safi sanaWakuu mko poa habari za weekend
mm nitajilinda mwenyewe shululu hawezi uwe na amani zote anza maisha mapya na mkeoumesahau boss kazi nilimpatia shululu jana ile ile
hahaha..ha naona nimeongea jambo limeleta utata ..Kwani umemwekea nini moyoni
Yaani nimekutana na rafiki yangu mmoja kasomea masoko nikamwambia nina bidhaa nitafutie soko kashindwa anaogopa kuwafuata Wateja sasa nikajiuliza alisomea masoko au aliongezea idadi ya wanafunzi chuonikwelii watu wamesomea agriculture lakini ku-plactice walicho kisoma kazi kweli kweli aisee ... ... ...
mm nitajilinda mwenyewe shululu hawezi uwe na amani zote anza maisha mapya na mkeo
nashukuruKazi hiyo mimi siwezi aiseeumesahau boss kazi nilimpatia shululu jana ile ile
Yaani nimekutana na rafiki yangu mmoja kasomea masoko nikamwambia nina bidhaa nitafutie soko kashindwa anaogopa kuwafuata Wateja sasa nikajiuliza alisomea masoko au aliongezea idadi ya wanafunzi chuoni





hahahha nimeshamwambiaKazi hiyo mimi siwezi aisee
hahahaha...ha aisee kazi kweli kweliYaani nimekutana na rafiki yangu mmoja kasomea masoko nikamwambia nina bidhaa nitafutie soko kashindwa anaogopa kuwafuata Wateja sasa nikajiuliza alisomea masoko au aliongezea idadi ya wanafunzi chuoni
Leo nimeulizwa swali shunie yuko wapiumesahau boss kazi nilimpatia shululu jana ile ile
Hata kama Shululu umeshajibu naomba ujibu tena nisikieunajuajeee

KhaaaaKheeee
Ni majanga kwa kwelisasa hapo kiwanja kimechukuliwa na bank na pesa hajaifanyia kitu
OoohLee popote ulipooo nitafuteee
Jambo jema sana kama umemwambiahahahha nimeshamwambia
Ha ha ha.... Ndo nimeshaludi tyr bestUkikaa sawa urudi
Cc shededeHata kama Shululu umeshajibu naomba ujibu tena nisikie![]()
Leo nimeulizwa swali shunie yuko wapi
Nikasema yupo, ila hajisikii vizuri tangu jana
Nikaulizwa wewe ulijuaje?
Nikajibu yeye ndiye alisema



mnanifurahisha sana yaan nikiingia humu machungu niliyokua nayo yanapungua kiasi chake
Hata kama Shululu umeshajibu naomba ujibu tena nisikie![]()




acha uchochezi