Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unapenda kuvunja mifupa sana eeh. Niko somewhere nje ya Bongo. Nina dentist rafiki yangu wa siku nyingi nikiwa na ishu za meno huwa naenda kwake. Ana facility nzuri na vifaa vya kisasa kabisa. Ndiyo maana tukaambiwa kuwa operesheni yo yote ni risky. Kioperesheni kidooogo complications zinatokea mtu unakwenda. Joan Rivers yule mama wa show ya Fashion Police alikwenda kutoa tonsils- kioperesheni kidogo cha dakika tano lakini akaishia kufariki.

Tupunguze kuvunja mifupa madenge!
Mkuu huwa navunja mifupa km mbwa huwa sijielewi sababu ya kufanya hivyo
Nafikiri uko ulipo napata huduma nzuri tu na utapona
.......
 
Unapenda kuvunja mifupa sana eeh. Niko somewhere nje ya Bongo. Nina dentist rafiki yangu wa siku nyingi nikiwa na ishu za meno huwa naenda kwake. Ana facility nzuri na vifaa vya kisasa kabisa. Ndiyo maana tukaambiwa kuwa operesheni yo yote ni risky. Kioperesheni kidooogo complications zinatokea mtu unakwenda. Joan Rivers yule mama wa show ya Fashion Police alikwenda kutoa tonsils- kioperesheni kidogo cha dakika tano lakini akaishia kufariki.

Tupunguze kuvunja mifupa madenge!
Aisee, ni kweli usemacho
 
Mambo ya mkorogo
930f58a9e4b82725469237f5b5d6765c.jpg
Kawa km mjusiiii
 
*Muhindi 1 alibadili dini na mchungaji akamwambia kila unapokula usisahau kusali sala ya baba yetu, la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kusali kwa miezi miwili , SHETANI akamfuata Mchungaji akamwambia mkumbushe muhindi Kusali maana ataniuwa kwa pili pili! *
yeeeeeee daa
 
Unapenda kuvunja mifupa sana eeh. Niko somewhere nje ya Bongo. Nina dentist rafiki yangu wa siku nyingi nikiwa na ishu za meno huwa naenda kwake. Ana facility nzuri na vifaa vya kisasa kabisa. Ndiyo maana tukaambiwa kuwa operesheni yo yote ni risky. Kioperesheni kidooogo complications zinatokea mtu unakwenda. Joan Rivers yule mama wa show ya Fashion Police alikwenda kutoa tonsils- kioperesheni kidogo cha dakika tano lakini akaishia kufariki.

Tupunguze kuvunja mifupa madenge!
huko kuvunja mifupa vip shimba
 
MECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI,



Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO,kati ya ARGENTINA na MAREKANI

kipute kilipgwa dk 90 wanaume wakatoka mbili kwa mbili, zikawekwa 30 wanaume wakamaliza hivo hivo,

refa KOLLAR DE QUISOR akasema twendeni kwenye matuta,kwenye 5 za kwanza wakatoka 4 kwa 4 akawaambia wapige zingine wakatoka 5 kwa 5,basi wakapigiana penalty karibu mia wakatoa sare.Kwa kua walikua wamechoka akawaomba wapumzike wakaenda mapumzko kurudi mambo yakaenda mpaka penalty mia zingne ikawa draw,zikapigwa hamsini zngne ikawa sare na watu njaa zinauma sana,basi bwana KOILLAR akawaambia wakapate msosi kwenye mgawaha wa karibu.Waliporudi ikapigwa penalt mpaka karibu na kesho na watu wakaambiwa laleni uwanjani,asubuhi zikapigwa tena kitu sare na ikawa hivo kwa siku 4 ndipo ikarushwa shilingi bado ikatua imesimama zaid ya mara kumi na 9,refaakawaomba wakate kombe nusu kwa nusu
 
MECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI,



Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO,kati ya ARGENTINA na MAREKANI

kipute kilipgwa dk 90 wanaume wakatoka mbili kwa mbili, zikawekwa 30 wanaume wakamaliza hivo hivo,

refa KOLLAR DE QUISOR akasema twendeni kwenye matuta,kwenye 5 za kwanza wakatoka 4 kwa 4 akawaambia wapige zingine wakatoka 5 kwa 5,basi wakapigiana penalty karibu mia wakatoa sare.Kwa kua walikua wamechoka akawaomba wapumzike wakaenda mapumzko kurudi mambo yakaenda mpaka penalty mia zingne ikawa draw,zikapigwa hamsini zngne ikawa sare na watu njaa zinauma sana,basi bwana KOILLAR akawaambia wakapate msosi kwenye mgawaha wa karibu.Waliporudi ikapigwa penalt mpaka karibu na kesho na watu wakaambiwa laleni uwanjani,asubuhi zikapigwa tena kitu sare na ikawa hivo kwa siku 4 ndipo ikarushwa shilingi bado ikatua imesimama zaid ya mara kumi na 9,refaakawaomba wakate kombe nusu kwa nusu
urongooo
 
Makapuku. Jino langu moja wameliwekea permanent crown. Ni process rahisi lakini kulikuwa na bleeding kwenye gums kidogo ikaleta matatizo. Process ya robo-nusu saa ikachukua karibu masaa matatu. Lakini eventually everything went well.

Binadamu sisi yani we acha tu. Jino tu likichachamaa mtu hoi. Kutokana na sababu hii sitaweza kuanzisha zile series zangu mbili nilizomwahidi Obe jana. Nitazianzisha J'3 mambo yakienda sawa sawa.

Ukienda mahospitalini huko kuna watu wana magonjwa ya kutisha sana. Wewe kama uko mzima hapo mshukuru Mungu kwa baraka zake; na acha kulalamika kuhusu vitu vidogo vidogo ambavyo wala havina tija in the grand scheme of things. Mbarikiwe sana wapendwa!
aef0c1ed2127d449583b897c97e585cb.jpg
Pole sana msukuma
 
Pole mdau, jino kuuma na tiba zake ni noma. Nami najipanga root canal kasheshe.
Well, tuombe Mungu j3 Stupid Criminals watamalaki hapa
Root canal! Maweeee! Pole mkuu. I hope everything will go well. Hata mimi huyu daktari kanichimba mkwara kama mambo yasipokaa sawa basi ni either root canal au kung'oa. Niko tayari kuling'oa kwa sababu shezy type jino linanimalizia hela balaa hili. Nitaling'oa tu niachane nalo kwa kweli na uzuri ni la huko nyuuuma hata akina Shunie hawatajua kama sina jino
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom