BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ubarikiwe Shunie asante kwa NukuuNUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana
hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King
muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.
Tuko poa je weweHabariiiii wa mdugu hope mko
poa
Mkuu makapuku uimejaa vichwa wala usishangae sema wanaJf wengi wana mtazamo hasi kuhusu hii thread ila huwa hatujaliYaani hii pair ya Mussolin 5 na Bitoz inanikumbusha ile towadi ya Man U(Andy Cole na Dwirt Yoke).
Ila Fidel Castro walimshindwa akagonga hadi umri wa 90' km sijakosea pia alitawala karibia au pengine miaka 40Viongozi wengi wa America ya kusini huwa wanauwawa na USA, ukikataa tu ushirika wao
Ninachofurahia ni kuwa: Mkuu Mussolini anaweka kumbukumbu ya maneno, Bitoz anatupia picha. Yaani ni sawa na Assist ya Fabregas kwa Eden Hazard au Niyonzima kwa Msuva.Mkuu makapuku kimejaa vichwa wala usishangae sema wanaJf wengi wana mtazamo hasi kuhusu hii thread ila huwa hatujali
Shukrani sana mkuu
.......
Alirudishiwa mpira akashindwa kuupiga ikawa baoHaaaaahaaaa, Robinson alifungwa gori moja la kizembe sana kuwahi kutokea kwenye mpira
Hongera ila ujitahidi kupngeza nyama mfano kuzaliwa lini ..kafa lini n.k itapendeza zaidiNUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana
hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King
muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.
Hata kwenye elimu kutokeaKatika maisha omba uzaliwe na bahati.
Kuna wachezaji mafundi haswa na hata wengine waliobarikiwa vipaji maridhawa lakini walikuwa katika vikosi vibaya hivyo wakashindwa kutwaa taji lolote.
Mfano Hart kwa Uingereza, Giggs kwa Wales, Luis Figo.
Halafu kuna wachezaji wabovu ila wamezaliwa katika vikosi vya dhahabu na kwa msaada wa wenzao wakashinda mataji ya kutosha.
Mfano Christoph Kramer wa Ujerumani. Nae ameshinda World cup, wachezaji wengi wa Ureno iliyochukua Euro 2016, Jesus Navas, Victor Valdes kwa Spain nk
Halafu kuna kikosi kama Uholanzi ambacho kina mafundi wa kutosha tena vipaji vya hali ya juu ila hawana bahati.
Naungana na wewe kwamba muda mwingine dunia haiko sawa.
Ni fresh kabisaNipo poa shem wange za ww
AiseeeHongera ila ujitahidi kupngeza nyama mfano kuzaliwa lini ..kafa lini n.k itapendeza zaidi
Shukrani mkuu
.....
Hahaha kuamka hukuNzuri, naona ndio unaamka
Ubarikiwe Shunie asante kwa Nukuu
Karibu sanaAmina
Morning baba mchuchu
NUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana
hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King
muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.
Alifanikiwa baada ya kuyakwepa majaribio mengi ya kutaka kumuuaIla Fidel Castro walimshindwa akagonga hadi umri wa 90' km sijakosea pia alitawala karibia au pengine miaka 40
.......
Mtunze vizuri mama