shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Bukedesawa shem wange nasubilia ata ukiona channel za Kenya au ug uniambie kwenye kingamuzi zipo

Bukedesawa shem wange nasubilia ata ukiona channel za Kenya au ug uniambie kwenye kingamuzi zipo

mm pia binamu naendelea vizuri sana namshkuru Mungu aliye juu
Nashukuru siku inaenda vizuri kabisa na nina siha njema, sijui wewe uliye mbali na mboni za macho yangu ila uko karibu kabisa mtimani mwangu.

Asante kwa picha bitoz
Pamoja sana wadauR.i.p Rashid
Asante Bitoz kwa picha
bukede ndio nn shemelaBukede![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

hahahah binamu ujue mama mchuchu katubadili sana yaan nipo hivyo ata kwenye majukwaa mengine jamaan mama mchungaji Mungu azidi kukuweka umetubadili sana...vipi umeshukiwa na roho mtakatifu?
Litakuwa jambo zuriAmezaliwa tarehe 4 na anapenda kuvaa jezi namba 4.
Jioni nikitulia naweza nikawaletea wachezaji mahiri na namba wanazipenda kuvaa.
binamu jaman ndio mana mama mchuchu anasema hamuelewi kabisa anaomba Mungu ampe mwanga ili azidi kumuelewa
Amen kubwaAmen mkuu mkubhi
Ubarikiwe
Mkuu hivi sasa napiga hata kandanda ..kwa kweli Mungu ni mkuuHivi mboga mboga amepona?





Mungu ni mwema siku zoteMkuu hivi sasa napiga hata kandanda ..kwa kweli Mungu ni mkuu
ubarikiwe sana kwa kuponaKama kawa, kwema??Du aisee
Niaje tetramelyz
Kama kawaida yangu siunanifahamu vzrPoa tetra za ww
Bukede TV ya Ugandabukede ndio nn shemela![]()
Na tickets alikuwa nayo naniHii ndo inaitwa midadi
jamaa Wawili Walifika Steshen, Wakakuta Tren Ndo Kwanza Inaondoka, Wakaanza Kuikimbiza, Mmoja Akafanikiwa Kupanda Akaondoka... Yule Aliyebaki Akaanza Kucheka Sanaa.... Mpaka Machoz Yakamtoka Watu Wakamuulza, Unacheka Nini Sasa Wakat Umeachwa? Akawajibu; "kinacho Nichekesha Yule Aliyepanda Alikuwa Ananisindikiza.![]()
Kwema, uko poa lakiniKama kawa, kwema??
ooohBukede TV ya Uganda