Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
ulale salama mndali asante kwa neno
Mndali ndanyelakakomu atalala saa hizi, yuko macho anaangalia 'game'
ulale salama mndali asante kwa neno
tumepigwa tumewapigaUshapigwa![]()
![]()
![]()
![]()
Kusahau itamchukua mudaBinamu mbona unanitia aibu anza maisha mapya na husna jaman mbona hivii
Du aisee haaaaahaaaahusna ameshakubali kila kitu tulikua tunakusubili ww tu uje
Same to you dear.....covered by Jesus' bloodGoodnight sir,have sweetdreams and wonderful night,Blessings your way![]()
![]()
Nawe pia, Asante kwa ujumbe murua kabisaWakuu usiku mwema naaga kwa neno lisemalo:
UKIWA KIJANA HAKIKISHA UNAFANYA KAZI KWA BIDII
....najua wewe unanijua aunt yangu ila wengine wakiona natupia nyimbo za 80s wanadhani mimi ni Kitime kumbe kijana kabisa sema nina mambo ya kizee😀, kijana mzee.
Atakula good muziki hadi anenepe maana wengine maumbo ya mamiss world tunahisi tunadhulumu nafsi cc SHIMBA YA BUYENZE




usimtese basi binti wa watu mpende haswa kama shemela shululu anavyompenda tumosa au mukongo anavyompenda mama mchuchu au lee anavyompenda shuniiNa bia ya kopo pembenimm siwezi kukukana kabisa we ni binamu yetu mtoto ameshakubali nimemwambia atulie binamu yangu mzee wa bakurutu amlee huku anakula good music
Afu sijui kwanini kila nikipiga ramli zangu naambiwa wewe ndo ulinizibia kwa BH, au nazipiga nimelewa? maana mganga wangu masharti yake niende na bia za kopo na mishikaki , eti tuwaite wazee.
Anyway, ngoja basi tukae kimkakati saa tumpe Husna

Ni kweli, naunga mkono hojaNdio shemela namuonea huruma binamu yangu ujue anavyoteseka mama mchuchu wamemchukulia ngoja atulie na husna
Kusahau itamchukua muda



hata mm naona akifanya mchezo husna anaweza mshindwaAtakuja tuhata sielewi najipa matumaini kama lee anaweza kuja sa 6
tehDu aisee haaaaahaaaa
Haaaaahaaaa futuhi day...hawezi kulala muda huu, bado anaangalia game la Futuhi (Man U na Celta)
Kumbe unaangaliatumepigwa tumewapiga
safari lagerNa bia ya kopo pembeni
Eti kweli mm nimehusika
Sasa jesafari lager