Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Binamu mbona unanitia aibu anza maisha mapya na husna jaman mbona hivii....hadi maua maua, yani flowers wakati mimi huwa naaga hata x7 sipati japo sweet dreams
Binamu mbona unanitia aibu anza maisha mapya na husna jaman mbona hivii....hadi maua maua, yani flowers wakati mimi huwa naaga hata x7 sipati japo sweet dreams
husna ameshakubali kila kitu tulikua tunakusubili ww tu ujeha hahhahaha, hapana, mchumba mwenyewe hatujakubaliana. Unamjua BH wewe?
Binamu mbona unanitia aibu anza maisha mapya na husna jaman mbona hivii
Nawe piaGoodnight family![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mm siwezi kukukana kabisa we ni binamu yetu mtoto ameshakubali nimemwambia atulie binamu yangu mzee wa bakurutu amlee huku anakula good musicNa siku nikitembea uchi kwa ajili yake si ndo utanikana zaidi ya yule jamaa aliyemkana Jesus! 😉
Haaaaahaaaabado ngoja kwanza nimkabidhi mke
Yaani ni shidahii mvua sio ya dar hii![]()
Mpaka sasa naona usingizi umekugomea
Ndio shemela namuonea huruma binamu yangu ujue anavyoteseka mama mchuchu wamemchukulia ngoja atulie na husnaHaaaaahaaaa
ulale salama mndali asante kwa nenoWakuu usiku mwema naaga kwa neno lisemalo:
UKIWA KIJANA HAKIKISHA UNAFANYA KAZI KWA BIDII
huko kinyerezi na mauterezi poleni sanaYaani ni shida
Mpaka sasa naona usingizi umekugomea




hata sielewi najipa matumaini kama lee anaweza kuja sa 6mm siwezi kukukana kabisa we ni binamu yetu mtoto ameshakubali nimemwambia atulie binamu yangu mzee wa bakurutu amlee huku anakula good music
Mpaka sasa naona usingizi umekugomea
Wanasema baada ya binamu kukuletea saa ulipotea mpaka ukamsahau BH, ndio maana binamu anataka saa umpe husna ili usimsahau na yeyeAfu sijui kwanini kila nikipiga ramli zangu naambiwa wewe ndo ulinizibia kwa BH, au nazipiga nimelewa? maana mganga wangu masharti yake niende na bia za kopo na mishikaki , eti tuwaite wazee.
Anyway, ngoja basi tukae kimkakati saa tumpe Husna
Haaaaahaaaa....hadi maua maua, yani flowers wakati mimi huwa naaga hata x7 sipati japo sweet dreams
Tunamshukuru sana Mungu wazima,pole ma majukumu,ubarikiweHello!
Naamini mko salama humu...