Makapuku Forum

ikifika chini hiyo pikipiki ndio utajua kwanini beki 3 halipi kodi
 
Rest in peace Marc Vivien Foe
 

Mawe yanaanguka huko Lushoto eneo LA vugha road yamedondokea gari majeruhi wamekimbizwa hospital

lushoto kwetu Mungu asaidie
Mimi nimespma na kukaa Dochi na Sinza kule muda mrefu tu na nilikuwa naenda kucheza mpira kule SEKOMU
Lushoto kuna hali ya hewa safi ila barabara ni hatari Hulu kilima chini korongo
Pia mademu wa Lushoto wazuri weupe na wakarimu
Mara mojamoja narudigi tu kujifurahisha
..........
 
Kabisa usijaribu nyumbani
 
Msukuma kumbe upande msambaa shikamoo
Msambaa? Mimi? Hata Tanga sijawahi fika. Nasikiaga tu mara waja leo waondoka leo na mambo kama hayo. Molla akijalia siku moja nitafika. Kutembelea mikoa yote ya Tanzania (na sehemu mashuhuri kihistoria), mabara yote na the 7 wonders of the World imo katika bucket list yangu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…