Makapuku Forum

Moja ya malengo ya uunzishwaji wa forum ya makapuku ni pamoja na kupeana michongo ya namna ya kuchomoka, sasa sijaona mdau yeyote aliyechomokea say kwenye kilimo akitupa madini ni namna gani tupige makaratee tutoke pia! Ni vizuri kila mwenye ujuzi wowote akatupia hapa ili ikitokea mchongo wowote tubebane, ama mnaonaje wana?
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…