Makapuku Forum

Makapuku Forum

Moja ya malengo ya uunzishwaji wa forum ya makapuku ni pamoja na kupeana michongo ya namna ya kuchomoka, sasa sijaona mdau yeyote aliyechomokea say kwenye kilimo akitupa madini ni namna gani tupige makaratee tutoke pia! Ni vizuri kila mwenye ujuzi wowote akatupia hapa ili ikitokea mchongo wowote tubebane, ama mnaonaje wana?
 
44240acf95f6d102f5f537cf21eba147.jpg
20d84e79fdd7ebb3bc3178b21cdc6c1a.jpg
aa425a250d3ff245fba1e0dd18c23c9a.jpg
ef893bbc473ab87b9eac70e9513b7d83.jpg
d31eb1cad9ffacac457a9a19b4e6e95a.jpg
217a4a6be2b2b1864221f597a590ee92.jpg
76fc41ca639385a3675e075cb648615e.jpg

Morning
Kapukuz
................
 
Nyodo zetu wakongwe zimeanza kufutika
Makapuku sasa wanakubalika
Wametoa thread ya uhakika
Nguvu yao kubwa kwa hakika
Maskini nyota zetu zinazidi kufutika
Tulijifanya tuna mkono wa birika
Makapuku wao wana ushirika
Chini ndo tunazidi kutiririka
X 3

Naupenda huu wimbo umeimbwa na Ngedere Ungabu feat FaizaFix

..................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom