Lala salamaaaaWakuu nawatakia usiku mwema.
Weekeeendddd
Wale tunaopenda![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
karibuniiiiii
Leo unaenda ngapi au ile hakuna idadi au?Napenda hii nyimbo nimetafuta cjapata!Kama weekend tayar ishafika..
Warembo Uwanjani wanamiminika
Tufurah kwa pamoja wakat huu,
Kwa pamoja turushe mikono juu,![]()
R. I. P Ngwair![]()
Nyodo zetu wakongwe zimeanza kufutika
Hahahah mambo ya Mpoki hayowanakwambia ugali mtamu lakini sio wa jela
Leo uwe mlinziLeo nimepitwa na mambo mengi ila naamini yote kheri......maisha yananifanya nikimbie coz nikitulia yananikimbiza mpaka nashindwa kushirikiana na makapuku wenzangu.....Niwatakie weekend njema, Sabato njema, popoz mkesha mwema, wanaolala mapema kama mimi usiku mwema....Jah bless
powa, muda mwemaLeo nimepitwa na mambo mengi ila naamini yote kheri......maisha yananifanya nikimbie coz nikitulia yananikimbiza mpaka nashindwa kushirikiana na makapuku wenzangu.....Niwatakie weekend njema, Sabato njema, popoz mkesha mwema, wanaolala mapema kama mimi usiku mwema....Jah bless
salaam, kwemaa?Jambo makapuku?
Kwema mkuusalaam, kwemaa?
Mzee wa pcm, hujamtendea haki faiza foxy amepanda cheo anaitwa Ngariba faiza foxyNimekuwa nikitafakari kuhusu Makapuku Forum Na huyu anayejiita mwanzilishi Mkuu Bitoz.
Bandiko hilo la Makapuku Forum limenifanya sasa nijihisi nipo Jamii Forum kutokana Na kupanda ghafla Kwa idadi ya Likes Na Trophy points.
Natanguliza shukurani kwa mwanzilishi lakini ni vema nieleze niliyotafakari.
Katika tafakari nimehisi huweza kuwa Bitoz alikuwa member mkongwe kuliko Faizafoxy humu JF ila akasahau password. Hii ikasababisha ajipatie ID nyingine Hali iliyosababisha kuanza upya kusaka umaarufu (maana JF ili uchukuliwe siriasi zinaangaliwa likes Na Trophy) Kwa kujiita kapuku Na kusaidia Makapuku wengineo ambao wanakuwa mtaji kwake wa kumpatia Trophy Na likes.
Hayo tuu Kwa sasa. Kabla hujapost kujibu hoja au kutoa mchango wako, LIKE kwanza.