Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nyodo zetu wakongwe zimeanza kufutika
Makapuku sasa wanakubalika
Wametoa thread ya uhakika
Nguvu yao kubwa kwa hakika
Maskini nyota zetu zinazidi kufutika
Tulijifanya tuna mkono wa birika
Makapuku wao wana ushirika
Chini ndo tunazidi kutiririka
X 3

Naupenda huu wimbo umeimbwa na Ngedere Ungabu feat FaizaFix

..................

 
Leo nimepitwa na mambo mengi ila naamini yote kheri......maisha yananifanya nikimbie coz nikitulia yananikimbiza mpaka nashindwa kushirikiana na makapuku wenzangu.....Niwatakie weekend njema, Sabato njema, popoz mkesha mwema, wanaolala mapema kama mimi usiku mwema....Jah bless
Asante sana mkuu, usiku mwema kwako pia


Yes I and I
 
80c3796c54b45e0ed30729c7fcd27693.jpg
 
Wazima humu jamani... Young leo nimeona video ya ndindindi... Sijui kama Jide anakuvutiaga lkn huo wimbo ni matata sana aisee... Nimemuona toli akitimuliwa na ndindindi.. Acha aisee... Mpende nahrene for really usije kuwa kama ndindindi
Mi bado sijauona wala kuusikia zaidi ya kuusoma kwenye mitandao tu, ila ntaitafuta Youtube walau nipate kuusikia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom