BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
huwa sijui kuwatafsiri hawa ndugu siwatumii sanaaa uelewa wangu mdogo
huwa sijui kuwatafsiri hawa ndugu siwatumii sanaaa uelewa wangu mdogo
Anakukonyezahuwa sijui kuwatafsiri hawa ndugu siwatumii sanaaa uelewa wangu mdogo
Karibu sana mkuu...sawa, nikiamka kuswali nitakuangalia kama upo
Kalubandika ndio naielewa sana
ILI NIANDIKE VIZURI...mbona umetumia herufi kubwa muda wa usiku?
ILI NIANDIKE VIZURI
Hii ya pili kwangu haijafunguka,ya kwanza nimeamka nimechezaaaaa inabidi nioge sasaKalubandika ndio naielewa sana
Ubarikiwe mkuu Jorowe
Hii ya pili kwangu haijafunguka,ya kwanza nimeamka nimechezaaaaa inabidi nioge sasa
Karibu sana NyageiAmen
Ahsante sana mama mchungaji kwa neno lenye kutia nguvu mioyo yetu.
Ubarikiwe sana

Ishi na watu kwa wema utafurahia muziki
Najua tumekuwa na wakti mzuri na tunapoenda kuimaliza Jumatano hii basi kama kawaida Makapuku nawakaribisha katika ka-kipengele haka ka ala za muziki na hasa tukijikita katika udonoaji na wadonoaji wa gitaa.
Kwa wapenzi wa muziki wa dansi miaka 20 nyuma, na wanaofuatilia miziki ya bakulutu, bendi ya Maquis Original ni bendi yenye umaarufu mkubwa hapa nchini ikiundwa na wanamuziki wengi toka Kongo na mmoja wao ni mpiga gitaa maarufu Dekula Kahanga almaarufu Vumbi. Mitindo kama Zembwela na Sendema haiwezi kukutoka kiurahisi.
Sikiza vibao cha Ngalula, Mayanga, Makumbele, Karubandika na vingine vingi katika mitindo ya Sendemaa na Zembwela. Gitaa utakalosikia linamuongoza muimbaji awe ni Tshimanga Assossa au Kasaloo basi ni la nguli Dekula Kahanga.
Bado yupo na anafanya muziki wake nchini Sweden akiwa na band yake ya Dekula Band.
Hapa nakuwekea baadhi ya nyimbo alizoweza kuzicharaza na kuzifanya zikavutia zaidi.
FYI: Upigaji wake mzuri umechangiwa zaidi na kufuatisha mipigo ya Nguza Viking (yupo jela sasa akitumikia adhabu ya maisha gerezani)
Dekula anaamini katika kuishi vizuri na watu, kwani huwezi kujua maisha yatakupeleka wapi.
hapa najiuliza nikuache na Ngalula au nitupie clip ya YouTube ambayo anacharaza baadhi ya nyimbo zake, isiwe ishu, nakuacha na zote mbili, suala la kukumalizia MB zako mpenzi msomaji liko nje ya uwezo wangu (joke)
Huko mbeleni sijuiShuuhalafu
![]()
![]()
![]()
Tulikipeza sanaNi wimbo mzuri sana ambao kiukweli utakaa muda mrefu kufutika, Kasaloo Kyanga hapo ndo muimbaji kiongozi.
Asante kwa kukisoma kipengele cha muziki/gitaa
Jorowe video ya pili iko crackedHii ya pili kwangu haijafunguka,ya kwanza nimeamka nimechezaaaaa inabidi nioge sasa
Huo ni mwili wake kweli mbona kama kajazwa jazwa as a toy?Haya basi nimebwaga manyanga. Ye yote tu atafaa ila mtafutie kwanza Shedede. Ukimalizana naye basi ndo uanze kumhangaikia Msukuma wako mbishi...![]()
Ishi na watu kwa wema utafurahia muziki
Najua tumekuwa na wakti mzuri na tunapoenda kuimaliza Jumatano hii basi kama kawaida Makapuku nawakaribisha katika ka-kipengele haka ka ala za muziki na hasa tukijikita katika udonoaji na wadonoaji wa gitaa.
Kwa wapenzi wa muziki wa dansi miaka 20 nyuma, na wanaofuatilia miziki ya bakulutu, bendi ya Maquis Original ni bendi yenye umaarufu mkubwa hapa nchini ikiundwa na wanamuziki wengi toka Kongo na mmoja wao ni mpiga gitaa maarufu Dekula Kahanga almaarufu Vumbi. Mitindo kama Zembwela na Sendema haiwezi kukutoka kiurahisi.
Sikiza vibao cha Ngalula, Mayanga, Makumbele, Karubandika na vingine vingi katika mitindo ya Sendemaa na Zembwela. Gitaa utakalosikia linamuongoza muimbaji awe ni Tshimanga Assossa au Kasaloo basi ni la nguli Dekula Kahanga.
Bado yupo na anafanya muziki wake nchini Sweden akiwa na band yake ya Dekula Band.
Hapa nakuwekea baadhi ya nyimbo alizoweza kuzicharaza na kuzifanya zikavutia zaidi.
FYI: Upigaji wake mzuri umechangiwa zaidi na kufuatisha mipigo ya Nguza Viking (yupo jela sasa akitumikia adhabu ya maisha gerezani)
Dekula anaamini katika kuishi vizuri na watu, kwani huwezi kujua maisha yatakupeleka wapi.
hapa najiuliza nikuache na Ngalula au nitupie clip ya YouTube ambayo anacharaza baadhi ya nyimbo zake, isiwe ishu, nakuacha na zote mbili, suala la kukumalizia MB zako mpenzi msomaji liko nje ya uwezo wangu (joke)
Mama Mchungaji. Umegusia Falsafa kabisa ya maisha yangu. Kwa vile nimeshafanikiwa kuacha kunywa pombe sasa bajeti yangu ina nidhamu sana. Lile fungu la 10 mimi hulitumia katika kusaidia wenzangu wenye shida moja kwa moja.Hakuna kitu kinacholeta faraja na furaha kama kusaidia wahitaji hata kama huna kitu,kushare kidogo ulichonacho na wale ambao hawana kabisa imagine unaenda hospital kumtembelea ndugu yako amelazwa mnajikuta mko 20 mmezunguka kitanda ,lakini next bed kuna mtu kapata referal kuja muhimbili hana ndugu hebu sogea tumia muda nae,ongea nae mpe kidogo ulichonacho aaah huwezi amini utakuwa unatafuta safari a kutembelea watu wa aina hii na hutapungukiwa,nauli,cha kuwapa hata neno la kuwatia moyo .hata majumbani wapo wengi wanahitaji faraja ,kutiwa moyo,kusikilizwa pata muda wa kuwaona watu hawa wapo wengi sana Mungu atutie nguvu
Nehemia 8
10b....furaha ya BWANA ni nguvu zenu.
Haleuiya![]()
![]()
MATENDO YA MITUME 20
35.Katika mambo yote nimewaonyesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge,na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu ,jinsi alivyosema mwenyewe. Ni heri kutoa kuliko kupokea
Bofulo hili kwa chai na blue band tamu sanaHuo ni mwili wake kweli mbona kama kajazwa jazwa as a toy?