Makapuku Forum

Bitoz
 
Mbwembwe unazo sana, hasa kwa mtu ambaye hajakujulia. Ila lazima niseme kuwa umekomaa sana kifkra; na hili ni jambo jema!
SHIMBA bhana
Siku hizi hata tuchokozane vipi hatufiki mbali
Mi mwanzoni nilikuwa nspaniki au kuongea sana kuhusu vitu vidogodogo lakini nimaanza kujifunza kupotezea
Ila km threaf mtu kanitaja kwa mema namjibu km kwa mabaya napiga kimya
Pia thread za kuzinguana sijui makapuku haina dili imejaa watoto hizo nazikaushia tu
...........
 
.....hayo maisha yaliyo mteremko hivyo, sometime kama maisha yanakosa something sijui nini/utamu/thamani I don't know what can I say!!!.....af yote ni ubatili tu chini ya jua
Na utakuta hana furaha na maisha yake hayana thamani. Siku the great equalizer (Mr. Death) atakapomfikia halafu waje wasome diary yake ndiyo utakutana na mambo ya ajabu. Ni nani aliyetegemea, kwa mfano, mtu kama marehemu princess Diana kuwa na maisha ya "shida?" Ndiyo maana ikasemwa kwamba there is more to life than just material things....
 
Chuma Chenyewe le Comrade
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…