Makapuku Forum

Ana mke mzuri wa sura na umbo,kama anaongoza viziri atakua mshauri mzuri pia.
 
Yuko vizuri,wanakula natural sana,mazoezi,meditation ,yoga inawasaidia kiafya
 
Ndiyo maana the little fat boy wa North Korea ana wafuasi wengi duniani. Amegangamara dhidi ya ubabe wa Marekani na kiburi hiki kinaleta msisimko japo gharama yake yaweza kuwa kubwa hasa kwa wananchi wake. Anawachachafya na hawawezi kumfanya walichowafanyia akina Gaddafi, Saddam Hussein, Nkrumah, Lumumba na mamilioni mengine ya raia hapa duniani walioathirika na siasa zao za kibabe.

Mugabe hakujipanga vizuri. Huwezi kunyang'anya shamba la ekari 5,000 fully mechanized ukawagawia watu ambao hawana ujuzi na kilimo cha kisasa kisa tu wana ngozi nyeusi. Haikuchukua hata miaka mitano kwa Zimbabwe kutoka kuwa basket of Africa mpaka kuwa ombaomba wa chakula. Kupambana na hawa jamaa siyo lelemama ndiyo maana hata huyu dogo wa Korea imebidi awe na maslaha haya makali ili angalau kupata leverage kidogo...
 

Tpfauti ya NK na Z
Ni kwamba NK inajitegemea kwa mambo mengi mfano teknolojia
Pia huko NK sio rahisi CIA kumpata kibaraka wa kumtumia kuanzisha chokochoko
.......
 
.....hayo maisha yaliyo mteremko hivyo, sometime kama maisha yanakosa something sijui nini/utamu/thamani I don't know what can I say!!!.....af yote ni ubatili tu chini ya jua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…