Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,630
Sio kwamba sitaki kuwatambua kwa majina makapuku wengine, la. Napenda tu kumtakia BlessedHope usomaji mwema wa magazeti.
Na wengine msome magazeti vizuri
Na wengine msome magazeti vizuri
MarahabaaaBora umekuja maana ulipotea mi mi nikawa nasumbuka kuomba link.
Heshima yangu toka kwako nimeipokea kwa mikono miwili, nawe pokea utii toka kwangu
Why Only Blessed HopeSio kwamba sitaki kuwatambua kwa majina makapuku wengine, la. Napenda tu kumtakia BlessedHope usomaji mwema wa magazeti.
Na wengine msome magazeti vizuri
hahahaha....h aiseeeUmekimwaga leo hongera..
Wakikuteka usifiche kitu useme tu..
kwema kiongozi sijui wwmakuu habar za saivii
Sio kawaida yako atiii!!!hahahaha....h aiseee
asante mkuu na magazeti yalikuwa na udhamini wako
hii inadhihirisha kuwa tanzania yote imekumbwa na vyeti fake "i wonder"Sheria ni sheria, kama tunasema vyeti feki bi kharamu basi na iwe hivyo, uchapakaji wa kazi kwa kutumia cheti feki haiwezi kuwa samehe
Why Only Blessed Hope
shukrani,,karibu sanaAsante kwa magazeti Shululu
Maana kila asubuhi lazima nipite huku kwa ajili ya magazeti kisha ndo niendelee na Ratiba zingine
Unamtaka mama yetu?
hii inadhihirisha kuwa tanzania yote imekumbwa na vyeti fake "i wonder"
siku nyingine tusije stuka tukaambiwa sizonje naye aligushi vyeti vyake vya form 4 na 6 "what goes around comes around"
frsh sana mkuu vp harakatikwema kiongozi sijui ww
basi nasisi tufanye kama hatuyaoni yaendeleayo aiseeeHa hahhahaha, DAB kafoji vyeti, DAB ni rafiki mpendwa wa Sizonje....unashangaa mamba kumtetea kenge!?

Unamtaka mama yetu?
how???![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
KweliNdiyo, ninamtaka, asome magazeti
.....hivi moja jumlisha moja ni mbili?