yule mnafiki anataka eti nifukuzwe kazimzee mkavu uko poaa ?
shimba anakusalimia
sawa mkuu ,tuko frshMorning wakuu mko fresh wote?
MunGu awe nanyi kwa kila ufanyalo..
Valentina Cheupe wangu, Love you so much my woma.
Nakumiss sana V wangu..
Nzuri mkuumakuu habar za saivii
Asante kwa kuyapitia mkuu shededemkuu shululu asante kwa magazeti mungu akubaliki uwe nasiku njema
nowdays tumechoka kila kona vyeti vyeti hakuna mambo mengine yakufanya
wakuu wetu wamekazania vyeti vyeti sasa kama cv's ndo zinafanya kazi wewe unayefanya kazi huna maana kwaiyo cv's sio uwajibikaji "i wonder"
asante mkuu na magazeti yalikuwa na udhamini wakoshululu asante sana kwa magazeti. Unaifanya siku iwe na maana kubwa kwetu. Gracias
nowdays tumechoka kila kona vyeti vyeti hakuna mambo mengine yakufanya![]()
![]()
wakuu wetu wamekazania vyeti vyeti sasa kama cv's ndo zinafanya kazi wewe unayefanya kazi huna maana kwaiyo cv's sio uwajibikaji "i wonder"
kila kukicha ni vyeti wakati akina "daudi from call me jay"wapo wapo tu wanazunguka kwenye vitu tena wao ndo vinala wa vyeti bandia lkn serikali haiwaoni!!!!!!!!!!!!!!"i wonder"
nafikiri huu sio mda wa kuanza kukimbizana na kudai vyeti og vya mtu kama hatukuona mwenendo mbaya wa kazi yake haina maana ya kumtumbua eti kisa anavyeti fake uwajibikaji katika jamii ndo kipimo cha kazi ya mtu kwanini tusi-deal na mambo muhimu tuna-deal na vyeti fake"i wonder"
Umekimwaga leo hongera..nowdays tumechoka kila kona vyeti vyeti hakuna mambo mengine yakufanya![]()
![]()
wakuu wetu wamekazania vyeti vyeti sasa kama cv's ndo zinafanya kazi wewe unayefanya kazi huna maana kwaiyo cv's sio uwajibikaji "i wonder"
kila kukicha ni vyeti wakati akina "daudi from call me jay"wapo wapo tu wanazunguka kwenye vitu tena wao ndo vinala wa vyeti bandia lkn serikali haiwaoni!!!!!!!!!!!!!!"i wonder"
nafikiri huu sio mda wa kuanza kukimbizana na kudai vyeti og vya mtu kama hatukuona mwenendo mbaya wa kazi yake haina maana ya kumtumbua eti kisa anavyeti fake uwajibikaji katika jamii ndo kipimo cha kazi ya mtu kwanini tusi-deal na mambo muhimu tuna-deal na vyeti fake"i wonder"
Popo mzee wa nyuzi za Gitaa
Heshima yako bwana mkubwa..