Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Anglo--Zanzibar War 1896
b533404bbfabf65cad6537c1ae066142.jpg
eb32dbbdfcb2617a2692fc88f4aec779.jpg

Hii vita ilikuwa baina ya Waingereza na Sultan Khalid Barghash ambaye alichukua uongozi kufuatia kifo cha binamu yake
Waingereza walimpa masaa 24 aachie ngazi lakini akagoma hivyo Waingereza wakapeleka wanajeshi na meli zao za kivita na kuanza kuishambulia Z'bar
Ndani ya dakika 38 pekee Sultan akashindwa vita
Vita Hii ilisababisha vifo na majeruhi wa Kuzanzibar 500 wakati ni mwingereza mmoja pekee aliyejeruhiwa...pia boti mbili zilizama
.
.
.
.
.shukrani mliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
................
Asante bitoz kwa top ten bora kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom