Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Kweli kaamua shem waneShunie kanpatia tayari
Huyo na baba mchungaji darasa limewashindaShem wange Nyagei ukuje si ulisema umeokoka wewe nimekukuta mitaa ya kati huko kwa a wakubwa unatoa macho![]()
Hawezi sikiaila kuzuri stress zinapungua lee wangu akisikia hivyo anavurugwa
Unapotea potea sana, kulikoniNipo mzee
All the time God is good
Nashukuru mkuu nipumzike kwanzaKweli kaamua shem wane
Unataka chakula gani bibie uletewe?
All the time God is good
karibu mwaya jisikie upo nyumbani sitaki uwe mnyonge shemela shululu njo ukae na mgeniShunie kanpatia tayari
HahahaNimeokoka lee hapendi hizo mambo
Asante bitoz kwa top ten bora kabisa1/Anglo--Zanzibar War 1896![]()
![]()
Hii vita ilikuwa baina ya Waingereza na Sultan Khalid Barghash ambaye alichukua uongozi kufuatia kifo cha binamu yake
Waingereza walimpa masaa 24 aachie ngazi lakini akagoma hivyo Waingereza wakapeleka wanajeshi na meli zao za kivita na kuanza kuishambulia Z'bar
Ndani ya dakika 38 pekee Sultan akashindwa vita
Vita Hii ilisababisha vifo na majeruhi wa Kuzanzibar 500 wakati ni mwingereza mmoja pekee aliyejeruhiwa...pia boti mbili zilizama
.
.
.
.
.shukrani mliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
................
atatoa tu ngoja azoee bado mgeni ujueMbona aliyepewa hatoi ushirikiano stahiki apate changamoto kidogo
All the time God is good
Bila kusahau Neno la Mungu toka kwa Mama yetu mpendwa
All the time God is good

nimekutania mwaya be freeUcjali nmemuona jran yngu ndo maana nkachombeza kikwetukwetu
Ndaga gwa kukaja karibuAma tununu
Km yulesa na forum yake
![]()
![]()
![]()
...........
hahahhh shemela uliniambia nitoe mwongozoShemela kwenye ubora wako
Rudi unakimbia wapi
Karibu sanaNashukuru mkuu na mm nmejiunga na familia hii
Km yulesa na forum yake
![]()
![]()
![]()
...........



akiibuka anaenda kucomment hovyo ili forum iwe update