Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Uzi upI?nimecheka kwenye pita pita zangu huko watu wanataka kuendeleza uzi uwe kama makapuku
Uzi upI?nimecheka kwenye pita pita zangu huko watu wanataka kuendeleza uzi uwe kama makapuku
chit chat wanaobadili idUzi upI?
Mfalme ambaye hakutawala hata kidogo.1/Prince Luis Felipe![]()
![]()
Kama mnavyojua utawala wa kifalme mrithi hujulikana mapema hata kabla ya kifo cha Mfalme
Sasa mwaka 1908 Mfalme Carlos wa Ureno aliuawa papo hapo wakati wa ziara ya kifalme ambapo pia mwanawe Luis Felipe alijeruhiwa
Sasa wakati anawahishwa hospital I tayari alitambulika km Mfalme japo alikuwa bado hajavalishwa taji rasmi...ndani ya dakika 30 akafariki dunua akiwa njiani kupelekwa hispitali kutokana na kupoteza damu nyingi
.
.
Tukutane kesho
Mwisho
..............
Ahaa ok, nimeuona.chit chat wanaobadili id
Pamoja sana mkuuMfalme ambaye hakutawala hata kidogo.
Asante mkuu, ukipata muda tutafutie na waliokula chumvi nyingi madarakani, hasa wakiongozwa na bibi yetu Elizabeth wa II bila kumsahau Komredi Mugabe!
Ahsante mkuu kwa top ten
Pamoja sana wakuuAsante bitoz kwa top ten
Samtaimu watu wana mambo ya kushangaza ....shida yake anataka afanyiwe kila kitu
Binamu picha ya saa na simu ya tachiiii naomba
Lauden Frank kamjibu vizuri sana mheshimiwa rais, naamini wanaojipendekeza kwa rais watachukulia jibu la mhuzunika Frank katika jicho zuri na kutomharasi
ile thread najuta shemela
mzima kiasi binamu vipi ww unaendeleajeNimeweza kuipiga picha saa, na sio siri imetoka bomba sana, yaani pamoja na JF leo kuwa nyeusi lakini saa yangu imetokea na rangi ya shaba mkwaruzo.
Picha ya 'tachi' ndo inanizingua , nasoma manual yake hapa kuona kama inaweza kujipiga yenyewe.
Nikimaliza nitakuomba unielekeza jinsi ya kuaplodi picha, kama itahitajika link basi nitamuomba Mondray anisaidie.
mzima lakini
hahaha kawapatiaLauden Frank kamjibu vizuri sana mheshimiwa rais, naamini wanaojipendekeza kwa rais watachukulia jibu la mhuzunika Frank katika jicho zuri na kutomharasi
acha tu binamu yule mtu hajui tu alivyoniharibia lee kapanicAunt yangu nimeona umeanzishiwa thread, nimeiona kwa bahati mbaya nikaona nisubiri nitete na mjomba lee empire kumuuliza kama ni yeye ana ID mbili humu
Top 10 imekaa poa sana , nimeipitia yote na dogo anacheza game la Ben 10Pamoja sana wakuu
......
Samtaimu watu wana mambo ya kushangaza ....shida yake anataka afanyiwe kila kitu
Yaani kashindwa kurudisha nyuma page 3 tu ili aipate hiyo picha?
Ni sawa na mtu kuwekewa chakula mezani halafu anaomba kulishwa
Duh
.............
mzima kiasi binamu vipi ww unaendeleaje
Niliona nimsaidia tu, maana ndiyo picha iliyyokuwa inaonekana kwenye display ya kapukuSamtaimu watu wana mambo ya kushangaza ....shida yake anataka afanyiwe kila kitu
Yaani kashindwa kurudisha nyuma page 3 tu ili aipate hiyo picha?
Ni sawa na mtu kuwekewa chakula mezani halafu anaomba kulishwa
Duh
.............
Aisee, kijana kajitoa mhangaLauden Frank kamjibu vizuri sana mheshimiwa rais, naamini wanaojipendekeza kwa rais watachukulia jibu la mhuzunika Frank katika jicho zuri na kutomharasi