Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Skender Gjinushi
51723b7774b7ed774cd1572c12ca61f6.jpg

Huyu alionja Urais wa nchi ya Albania kwa muda machache kama masaa mawili au manne tu
Ilimuwa mwaka 1997 baada ya uongozi wa kibepari wa Sali Berisha kushindwa uchaguzi wa kidemokrasia halafu kukataa kuachia madaraka hivyo Spika Slender akaamua kuchukua madaraka kwa mujibu wa katiba kuwa Rais wa mpito
Kisha Bunge la Albania likaamua kumtangaza mshindi halali wa Uchaguzi Mkuu Rexhep Meidani kuwa Rais mpya wa Albania
Hii ilifanyika ndani ya masaa manne pekee
.......
Uongozi mtamu sana
 
5/Boris Yeltsin
ecace9321b02e553fc75758354aa19c2.jpg

Huyu mzee alijiteua mwenyewe kuwa Waziri mkuu wa Urusi mwaka 1998
Hii ilikuwa wakati yeye akiwa Rais na mgogoro wa kisiasa ukiwa umepamba moto hivyo akaamua kumpunguzia majukumu Waziri Mkuu kwa kujiteua yeye mwenyewe
Baada ya kukosolewa vikali na wananchi wake na wapinzani akaamua fasta kuachia huo Uwaziri na kumteua mtu mwingine
Yaani ndani ya masaa manne tu...kukurupuka ni kubaya!!!
.........
Ndiye aliyemtengeneza Putin kuwa Rais wa Russian
 
1/Prince Luis Felipe
8ba9e83df749b6ede19ac40057d91b19.jpg
cc4afb89250189268128fe976671338a.jpg

Kama mnavyojua utawala wa kifalme mrithi hujulikana mapema hata kabla ya kifo cha Mfalme
Sasa mwaka 1908 Mfalme Carlos wa Ureno aliuawa papo hapo wakati wa ziara ya kifalme ambapo pia mwanawe Luis Felipe alijeruhiwa
Sasa wakati anawahishwa hospital I tayari alitambulika km Mfalme japo alikuwa bado hajavalishwa taji rasmi...ndani ya dakika 30 akafariki dunua akiwa njiani kupelekwa hispitali kutokana na kupoteza damu nyingi

.
.
Tukutane kesho
Mwisho
..............
Asante Bitoz ubarikiwe kwa top 10
 
2/Siaka Stevens
782da69fbd91bb41004c518a6fa69416.jpg

Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Sierra Leone mnamo March 21 1967 aluapishwa kuongoza Taifa hilo
Lakini ndani ya nusu saa tu waasi wakamzingira na kumkamata hivyo kuwa nwiaho wa utawala wake
Baadaye akafanikiwa kurudi madarakani kuanzia mwaka 1968
Yaani alitawala nusu saa tu mwaka 1967 kama Waziri Mkuu mwaka 1968

Huyu alikuwa Rais wa Sierra Leone kuanzia mwaka 1971 hadi 1985
.......
Duh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom