Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Khaaa4/Skender Gjinushi![]()
Huyu alionja Urais wa nchi ya Albania kwa muda machache kama masaa mawili au manne tu
Ilimuwa mwaka 1997 baada ya uongozi wa kibepari wa Sali Berisha kushindwa uchaguzi wa kidemokrasia halafu kukataa kuachia madaraka hivyo Spika Slender akaamua kuchukua madaraka kwa mujibu wa katiba kuwa Rais wa mpito
Kisha Bunge la Albania likaamua kumtangaza mshindi halali wa Uchaguzi Mkuu Rexhep Meidani kuwa Rais mpya wa Albania
Hii ilifanyika ndani ya masaa manne pekee
.......
Nzuri mvua tuhabar wanafamilia
Poa tuMmeshindaje wapendwa
Kama Sizonjehahaha...h ata sura yake ipo kama aliyekurupuka
Mambo yangu poa tummmh jamn mambo yako
Niko poa mamytumeshinda salama sijui kwako
karibu dearNiko poa mamy
Asante mheshimiwa waziri wa Makapu
Ninaomba uongozi katika chama cha Makapuku ndugu zangu wana Kapuku
Naomba kuchukua fursa hii kuuza Sera zangu kwenu
1- Nitakapo kuwa mteule wa nafasi ya makapuku kambi ya arosto nitafanya ya fatayo
a- Wale makapuku ambao soksi za viatu vyao zimetoboka nitatoa ofer ya soks za mitumba kutoka China kwa kila member pear mbili
b- Nitakapo fanikiwa kuwa bosi kutoka kambi ya arosto nitahakikisha familia za makapuku hazifugi panya, paka, na mbwa kwa sababu hawa wanachangia kutufanya tuemee kilo nyingi za sembe wakati bei ya sembe imepaa
c- Baada ya weak tatu baada ya kufanikiwa kuteuliwa nitaboresha soko la mbagamboga pale Ilala sehem ambayo makapuku hujipatia mafungu ya mchicha na bilinganya kwa bei rahisi kabisa huku wakilazimika kukesha usiku kucha
Asanteni Makapuku kwa kunisikiliza
Makofiiiiii

kazi ipoAsante mheshimiwa waziri wa Makapu
Ninaomba uongozi katika chama cha Makapuku ndugu zangu wana Kapuku
Naomba kuchukua fursa hii kuuza Sera zangu kwenu
1- Nitakapo kuwa mteule wa nafasi ya makapuku kambi ya arosto nitafanya ya fatayo
a- Wale makapuku ambao soksi za viatu vyao zimetoboka nitatoa ofer ya soks za mitumba kutoka China kwa kila member pear mbili
b- Nitakapo fanikiwa kuwa bosi kutoka kambi ya arosto nitahakikisha familia za makapuku hazifugi panya, paka, na mbwa kwa sababu hawa wanachangia kutufanya tuemee kilo nyingi za sembe wakati bei ya sembe imepaa
c- Baada ya weak tatu baada ya kufanikiwa kuteuliwa nitaboresha soko la mbagamboga pale Ilala sehem ambayo makapuku hujipatia mafungu ya mchicha na bilinganya kwa bei rahisi kabisa huku wakilazimika kukesha usiku kucha
Asanteni Makapuku kwa kunisikiliza
Makofiiiiii
183k7/Roger LaFontant![]()
Huyu alikuwa kiongozi wa kijeshi huko Haiti ambapo mwaka 1991 alikuwa Rais kwa masaa 24 tu
Rais alijiuzulu hivyo Katiba ya nchi hiyo kumpa madaraka Jaji Mkuu Estha Pascal Trouillot ambaye aliitisha Uchaguzi wa kidemokrasia lakini Fountant akatumia fursa hiyo kufanya mapinduzi na kujitangazia Urais lakini ghafla bin vuuuu wajanja zaidi yake wajampindua ndani ya masaa 24 tu yaani wakati anaamka tu huko Ikulu hata swimming pool hakugusa!!
...........
Salama tu ClkeyMmeshindaje wapendwa
Salama mkuuhabar wanafamilia