Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Skender Gjinushi
51723b7774b7ed774cd1572c12ca61f6.jpg

Huyu alionja Urais wa nchi ya Albania kwa muda machache kama masaa mawili au manne tu
Ilimuwa mwaka 1997 baada ya uongozi wa kibepari wa Sali Berisha kushindwa uchaguzi wa kidemokrasia halafu kukataa kuachia madaraka hivyo Spika Slender akaamua kuchukua madaraka kwa mujibu wa katiba kuwa Rais wa mpito
Kisha Bunge la Albania likaamua kumtangaza mshindi halali wa Uchaguzi Mkuu Rexhep Meidani kuwa Rais mpya wa Albania
Hii ilifanyika ndani ya masaa manne pekee
.......
Khaaa
 
3/Carlos Manuel Piedra
61cc9bccfc1f53841562b4c15ffb11b0.jpg
79c2c69f418072ff64685eadf48689b9.jpg
Huyu alikuwa Rais wa mpito kwa muda kati ya masaa 2 hadi 5 baada ya kujiuzulu Fulgencio Battista mwaka 1959
Hii ilikuwa baada ya Makamu wa Rais naye kuingia mitini kufuatia mapinduzi yaliyoongozwa na vijana akina Fidel Castro, Camilo Confuegos n.k
Jatiba ilikuwa ikimraka Jaji Mkuu mwenye umri mkubwa zaidi ndo achukue madaraka hivyo Piedra akatangazwa Rais mpya halafu fasta ndani ya nasaa machache akina Castro walikuwa washaiteka Havana hivyo akakimbilia Ubalozi wa Marekani na akina Castro kuchukua madaraka
Yaani alidumu kati ya masaa mawili au manne tu
..........
 
2/Siaka Stevens
782da69fbd91bb41004c518a6fa69416.jpg

Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Sierra Leone mnamo March 21 1967 aluapishwa kuongoza Taifa hilo
Lakini ndani ya nusu saa tu waasi wakamzingira na kumkamata hivyo kuwa nwiaho wa utawala wake
Baadaye akafanikiwa kurudi madarakani kuanzia mwaka 1968
Yaani alitawala nusu saa tu mwaka 1967 kama Waziri Mkuu

Huyu alikuwa Rais wa Sierra Leone kuanzia mwaka 1971 hadi 1985
.......
 
Kuna hiyo picha inayoonekana hapo ikiwa na sanam za watu wamechakaa kama kuna mtu anamaelezo nayo naomba aniambie nimetamani kujua iko wapi na inahusu nini
 
Asante mheshimiwa waziri wa Makapu
Ninaomba uongozi katika chama cha Makapuku ndugu zangu wana Kapuku

Naomba kuchukua fursa hii kuuza Sera zangu kwenu
1- Nitakapo kuwa mteule wa nafasi ya makapuku kambi ya arosto nitafanya ya fatayo
a- Wale makapuku ambao soksi za viatu vyao zimetoboka nitatoa ofer ya soks za mitumba kutoka China kwa kila member pear mbili

b- Nitakapo fanikiwa kuwa bosi kutoka kambi ya arosto nitahakikisha familia za makapuku hazifugi panya, paka, na mbwa kwa sababu hawa wanachangia kutufanya tuemee kilo nyingi za sembe wakati bei ya sembe imepaa

c- Baada ya weak tatu baada ya kufanikiwa kuteuliwa nitaboresha soko la mbagamboga pale Ilala sehem ambayo makapuku hujipatia mafungu ya mchicha na bilinganya kwa bei rahisi kabisa huku wakilazimika kukesha usiku kucha
Asanteni Makapuku kwa kunisikiliza
Makofiiiiii
 
Asante mheshimiwa waziri wa Makapu
Ninaomba uongozi katika chama cha Makapuku ndugu zangu wana Kapuku

Naomba kuchukua fursa hii kuuza Sera zangu kwenu
1- Nitakapo kuwa mteule wa nafasi ya makapuku kambi ya arosto nitafanya ya fatayo
a- Wale makapuku ambao soksi za viatu vyao zimetoboka nitatoa ofer ya soks za mitumba kutoka China kwa kila member pear mbili

b- Nitakapo fanikiwa kuwa bosi kutoka kambi ya arosto nitahakikisha familia za makapuku hazifugi panya, paka, na mbwa kwa sababu hawa wanachangia kutufanya tuemee kilo nyingi za sembe wakati bei ya sembe imepaa

c- Baada ya weak tatu baada ya kufanikiwa kuteuliwa nitaboresha soko la mbagamboga pale Ilala sehem ambayo makapuku hujipatia mafungu ya mchicha na bilinganya kwa bei rahisi kabisa huku wakilazimika kukesha usiku kucha
Asanteni Makapuku kwa kunisikiliza
Makofiiiiii
 
Asante mheshimiwa waziri wa Makapu
Ninaomba uongozi katika chama cha Makapuku ndugu zangu wana Kapuku

Naomba kuchukua fursa hii kuuza Sera zangu kwenu
1- Nitakapo kuwa mteule wa nafasi ya makapuku kambi ya arosto nitafanya ya fatayo
a- Wale makapuku ambao soksi za viatu vyao zimetoboka nitatoa ofer ya soks za mitumba kutoka China kwa kila member pear mbili

b- Nitakapo fanikiwa kuwa bosi kutoka kambi ya arosto nitahakikisha familia za makapuku hazifugi panya, paka, na mbwa kwa sababu hawa wanachangia kutufanya tuemee kilo nyingi za sembe wakati bei ya sembe imepaa

c- Baada ya weak tatu baada ya kufanikiwa kuteuliwa nitaboresha soko la mbagamboga pale Ilala sehem ambayo makapuku hujipatia mafungu ya mchicha na bilinganya kwa bei rahisi kabisa huku wakilazimika kukesha usiku kucha
Asanteni Makapuku kwa kunisikiliza
Makofiiiiii
kazi ipo
 
1/Prince Luis Felipe
8ba9e83df749b6ede19ac40057d91b19.jpg
cc4afb89250189268128fe976671338a.jpg

Kama mnavyojua utawala wa kifalme mrithi hujulikana mapema hata kabla ya kifo cha Mfalme
Sasa mwaka 1908 Mfalme Carlos wa Ureno aliuawa papo hapo wakati wa ziara ya kifalme ambapo pia mwanawe Luis Felipe alijeruhiwa
Sasa wakati anawahishwa hospital I tayari alitambulika km Mfalme japo alikuwa bado hajavalishwa taji rasmi...ndani ya dakika 30 akafariki dunua akiwa njiani kupelekwa hispitali kutokana na kupoteza damu nyingi

.
.
Tukutane kesho
Mwisho
..............
 
7/Roger LaFontant
ed9ebc9d1e64cb67532771fa8c7cf71e.jpg

Huyu alikuwa kiongozi wa kijeshi huko Haiti ambapo mwaka 1991 alikuwa Rais kwa masaa 24 tu
Rais alijiuzulu hivyo Katiba ya nchi hiyo kumpa madaraka Jaji Mkuu Estha Pascal Trouillot ambaye aliitisha Uchaguzi wa kidemokrasia lakini Fountant akatumia fursa hiyo kufanya mapinduzi na kujitangazia Urais lakini ghafla bin vuuuu wajanja zaidi yake wajampindua ndani ya masaa 24 tu yaani wakati anaamka tu huko Ikulu hata swimming pool hakugusa!!
...........
183k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom