Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Prince Luis Felipe
8ba9e83df749b6ede19ac40057d91b19.jpg
cc4afb89250189268128fe976671338a.jpg

Kama mnavyojua utawala wa kifalme mrithi hujulikana mapema hata kabla ya kifo cha Mfalme
Sasa mwaka 1908 Mfalme Carlos wa Ureno aliuawa papo hapo wakati wa ziara ya kifalme ambapo pia mwanawe Luis Felipe alijeruhiwa
Sasa wakati anawahishwa hospital I tayari alitambulika km Mfalme japo alikuwa bado hajavalishwa taji rasmi...ndani ya dakika 30 akafariki dunua akiwa njiani kupelekwa hispitali kutokana na kupoteza damu nyingi

.
.
Tukutane kesho
Mwisho
..............
Asante bitoz kwa top ten
 
Asante mheshimiwa waziri wa Makapu
Ninaomba uongozi katika chama cha Makapuku ndugu zangu wana Kapuku

Naomba kuchukua fursa hii kuuza Sera zangu kwenu
1- Nitakapo kuwa mteule wa nafasi ya makapuku kambi ya arosto nitafanya ya fatayo
a- Wale makapuku ambao soksi za viatu vyao zimetoboka nitatoa ofer ya soks za mitumba kutoka China kwa kila member pear mbili

b- Nitakapo fanikiwa kuwa bosi kutoka kambi ya arosto nitahakikisha familia za makapuku hazifugi panya, paka, na mbwa kwa sababu hawa wanachangia kutufanya tuemee kilo nyingi za sembe wakati bei ya sembe imepaa

c- Baada ya weak tatu baada ya kufanikiwa kuteuliwa nitaboresha soko la mbagamboga pale Ilala sehem ambayo makapuku hujipatia mafungu ya mchicha na bilinganya kwa bei rahisi kabisa huku wakilazimika kukesha usiku kucha
Asanteni Makapuku kwa kunisikiliza
Makofiiiiii
Sijaelewa
 
1/Prince Luis Felipe
8ba9e83df749b6ede19ac40057d91b19.jpg
cc4afb89250189268128fe976671338a.jpg

Kama mnavyojua utawala wa kifalme mrithi hujulikana mapema hata kabla ya kifo cha Mfalme
Sasa mwaka 1908 Mfalme Carlos wa Ureno aliuawa papo hapo wakati wa ziara ya kifalme ambapo pia mwanawe Luis Felipe alijeruhiwa
Sasa wakati anawahishwa hospital I tayari alitambulika km Mfalme japo alikuwa bado hajavalishwa taji rasmi...ndani ya dakika 30 akafariki dunua akiwa njiani kupelekwa hispitali kutokana na kupoteza damu nyingi

.
.
Tukutane kesho
Mwisho
..............
Ahsante mkuu kwa top ten
 
2/Siaka Stevens
782da69fbd91bb41004c518a6fa69416.jpg

Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Sierra Leone mnamo March 21 1967 aluapishwa kuongoza Taifa hilo
Lakini ndani ya nusu saa tu waasi wakamzingira na kumkamata hivyo kuwa nwiaho wa utawala wake
Baadaye akafanikiwa kurudi madarakani kuanzia mwaka 1968
Yaani alitawala nusu saa tu mwaka 1967 kama Waziri Mkuu

Huyu alikuwa Rais wa Sierra Leone kuanzia mwaka 1971 hadi 1985
.......
Afrika katika ubora wake uliopitiliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom